Polisi wamelielewa somo la 'Kwani wewe nani?'. Hongera sana Rais Samia

gari nimeendesha toka 1992. karibu swali la pili. hija ya tatu gari langi usililinganishe na haya ya siku hizi. Usajili wake ni B na lilipokuja likuwa na miaka 20 toka litengenezwe
Okay jichange basi nunua mpya aisee khaa au unless ni landcruiser au Hilux 3L
 
Okay jichange basi nunua mpya aisee khaa au unless ni landcruiser au Hilux 3L
Magarii yenu haya ya siku hizi hata unipe bure. Likiguswa tu linachanika. Ndiyo maana likipata ajali waendeshaji wake ngumi mikononi maana mnajua ndiyo kwa heri hivyo- na likiwa la mkopo ndiyo ugomvi hautaisha.
 
Tunarudi kule kule.. kila kitu unamshukuru rais... we badala ya kuwashukuru na kuwapongeza matrafk.. ww unamshukuru rais
 
Akaniambia tena naona kama taa yako ya kulia ina chongo- ni mbovu. Nikamwambia sikuwa najua hivyo.
Heri wewe wamesema zina chongo, mimi mwenzako walisema ati taa zangu zina makengeza, hivi kweli!!!
 
Akaniuliza: "Mbona umewasha taa mchana kweupe hivi?"

Nikamjibu: "Sikujua kama taa zilikua zinawaka"



Sasa kama kuwasha taa mchana kweupe ni jambo la kawaida kwanini alikuuliza? na wewe kwanini ulimjibu kua hukujua kama taa zilikua zinawaka?
Nadhani aliakuwa najenga hoja ya kuja kuniuliza kuhusu ubovu wa taa- maana nisingekuwa nimewasha taa wala asingeona na pengine asingenisimamisha.

Nadhani kama sikosei ilishatolewa amri kama siyo masafara wa kiongozi au dharura si sheria kuwasha taa mchana wakati unaendesha gari barabarani.
 
tunarudi kule kule.. kila kitu unamshukuru rais...
we badala ya kuwashukuru na kuwapongeza matrafk..
ww unamshukuru rais
Asante kwa chakula hupewa mama mwenye nyumba siyo mdada wa kazi- au nimekosea
 
Nadhani aliakuwa najenga hoja ya kuja kuniuliza kuhusu ubovu wa taa- maana nisingekuwa nimewasha taa wala asingeona na pengine asingenisimamisha.
Nadhani kama sikosei ilishatolewa amri kama siyo masafara wa kiongozi au dharura si sheria kuwasha taa mchana wakati unaendesha gari barabarani.
Kwani kuna madhara gani kama Dereva ataamua tu kuwasha taa mchana?
 
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom