kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,polisi waliokuja wilayani Arumeru zaidi ya 1000 kutoka ndani na nje ta mkoa wa Arusha, wamemuandikia barua ya siri Dr Slaa na kumuomba awasemee tatizo lao la malipo kiduchu ya tshs 10,000 kwa siku.
Serikali imetumia gharama kubwa sana kuleta vifaa vya kijeshi na kusahau kuwalipa fedha stahiki watumiaji, kuna Diffender na Cruzer hardtop zaidi ya 40, Magari la majikuwasha 2 na lori moja la mabomu ya machozi.
Kitendo hiki kimewakera sana Polisi. Safari hii hata mkiwaamuru wapige mabomu itawawia vigumu sana maana wamekiri nawenyewe wamechoka na serikali kandamizi ya CCM...
Serikali imetumia gharama kubwa sana kuleta vifaa vya kijeshi na kusahau kuwalipa fedha stahiki watumiaji, kuna Diffender na Cruzer hardtop zaidi ya 40, Magari la majikuwasha 2 na lori moja la mabomu ya machozi.
Kitendo hiki kimewakera sana Polisi. Safari hii hata mkiwaamuru wapige mabomu itawawia vigumu sana maana wamekiri nawenyewe wamechoka na serikali kandamizi ya CCM...