Polisi wakubali mashujaa wa HAKI kupewa HESHIMA za mwisho viwanja vya NMC kesho!!

Naomba nijulishwe source please, Nahitaji ksafiri leo toka Dar kuja Rausha kuhudhuria kama mashujaa wataagwa hapo NMC. Tafari source please.
Subiri source itatolewa kesho kutwa na magazeti ndipo uhudhurie.
 
Nguo nyeusi ni dalili ya majonzi,zivaliwe kama huna funga kitambaa cheusi kama ishara ya msiba huu mkubwa. Na hivi gharama ya matangazo ya TV live kwa hata masaa mawili ni kiasi gani? Chadema hawawezi wakagharamia katika kituo kimoja ili waTZ wote waone nini kinafanyika huko Arusha? utakuwa ni ujumbe tosha kwa nchi nzima. Maana habari nyingi hata nyeti kama hizo zinachakachuliwa sana na ujumbe unafika tofauti na original message.
 
Tungoje hiyo kesho tuone kama ni kweli,jamani si lazima kuwe na source wakati mwingine mtu anakuwa eneo la tukio na anaona kinachoendelea na kutuletea hapa
 
Nguo nyeusi ni dalili ya majonzi,zivaliwe kama huna funga kitambaa cheusi kama ishara ya msiba huu mkubwa. Na hivi gharama ya matangazo ya TV live kwa hata masaa mawili ni kiasi gani? Chadema hawawezi wakagharamia katika kituo kimoja ili waTZ wote waone nini kinafanyika huko Arusha? utakuwa ni ujumbe tosha kwa nchi nzima. Maana habari nyingi hata nyeti kama hizo zinachakachuliwa sana na ujumbe unafika tofauti na original message.
Matangazo ya live ya dharura, yanaweza kufanyika Dar es Salaam na Mwanza tuu, kwa DAR ni TBC na Mwanza ni Star TV, ndivyo vituo pekee vyenye OB Van ya TV.

Vituo vingine vyote hutumia microwave link, maandalizi ni at least 2 days before.

1 hour live kwa TBC ni milioni 6 na kwa Star ni milioni 8! na ITV ni milioni 10!.
 
Asante kwa ofa ya usafiri


Kitendo chako cha kiungwana na kishujaa kuhudhuria mazishi ya mashujaa wetu kutoka Dar es Salaam ni lazima kiungwe mkono!! Ni faraja kwetu tulioko Arusha na pia fundisho kwamba katika maisha ni lazima kujitoa ili maendeleo ya kweli yaweze kufikiwa!! Karibu sana Arusha na JF imekuwa kiungo muhimu sana cha kufanikisha kukutana kwetu! Wana JF wengine tuwasiliane zaidi kwani lazima tulete mabadiliko ya kweli!!
 
Kitendo chako cha kiungwana na kishujaa kuhudhuria mazishi ya mashujaa wetu kutoka Dar es Salaam ni lazima kiungwe mkono!! Ni faraja kwetu tulioko Arusha na pia fundisho kwamba katika maisha ni lazima kujitoa ili maendeleo ya kweli yaweze kufikiwa!! Karibu sana Arusha na JF imekuwa kiungo muhimu sana cha kufanikisha kukutana kwetu! Wana JF wengine tuwasiliane zaidi kwani lazima tulete mabadiliko ya kweli!!

Kadri gari inakaribia arusha mjini ndo hasira na uchungu unazidi. Natamani leo tupige kwanza advetaizi la maandamano?
 
Siyo kweli MKUU.

Kwa sisi Africa, tunavaa nguo NYEUPE. Ni Wazungu ndiyo wanavaa nyeusi maana ni tofauti na RANGI YAO.

Angalia mazishi ya Mchezaji Vivian Foe wa Cameroon. Wachezaji wote wa Lions wakati wanamuaga, walipiga suti Nyeupe na hadi viatu vyeupe.

Kwa kesho, Chadema wale nguo nyeupe pee kukiwa na maana ya MAJONZI na AMANI.
Nguo nyeusi ni dalili ya majonzi,zivaliwe kama huna funga kitambaa cheusi kama ishara ya msiba huu mkubwa. Na hivi gharama ya matangazo ya TV live kwa hata masaa mawili ni kiasi gani? Chadema hawawezi wakagharamia katika kituo kimoja ili waTZ wote waone nini kinafanyika huko Arusha? utakuwa ni ujumbe tosha kwa nchi nzima. Maana habari nyingi hata nyeti kama hizo zinachakachuliwa sana na ujumbe unafika tofauti na original message.
 
let them rest in peace our comrade the rulling class will forget them in everthing but not the way they made them feel
viva comrade pande hizo za atown aluta continua
 
taarifa kutoka kwa mwenyekiti wa wilaya wa chadema arusha ni kwamba polisi 'wamekubali' ibada pamoja na duwa kuwaaga mashujaa waliofariki kwa kupigwa risasi na polisi tarehe 5-01-2011 ifanyike kesho jumatano kwenye viwanja vya nmc arusha. Taarifa rasmi za ratiba ya ibada na dua zitaendelea kutolewa ili kila mwenye nia ya kushiriki aweze kushiriki!

haikuwa ombi ni lazima nani kasema tuliomba kufanya mazishi uwanjani?tunataka kukfanya hivyo na no one can stop peoples power
 
Taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA Arusha ni kwamba polisi 'wamekubali' ibada pamoja na duwa kuwaaga mashujaa waliofariki kwa kupigwa risasi na polisi tarehe 5-01-2011 ifanyike kesho jumatano kwenye viwanja vya NMC Arusha. Taarifa rasmi za ratiba ya ibada na dua zitaendelea kutolewa ili kila mwenye nia ya kushiriki aweze kushiriki!
Thats good,
A gateway to justice.
 
"The Lord gave, and the Lord has taken away; blessed be the name of the Lord." - Job: 1:21(b)
 
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.

People are fighting for freedom including you slave.
Shame upon your sh**t like face. Akili kidogo kama sisimizi tena iko mat***k*ni badala ya kichwani.
 
Mmewadanganya marehemu kuwa wao ni mashujaa, hakuna mashujaa ambao wanakufa kwa kugombea kupewa kiti cha umeya.

Hivi unaweza kumdanganya marehemu kweli? Waishio ndio wanaoamua kuwaenzi marehemu ambao huwa hawajui kinachoendelea ulimwenguni.
 
Back
Top Bottom