Polisi wakikamata mhalifu waache kujitetea eti "mamlaka za juu zimeagiza".

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,061
1,327
Wajibu wa polisi pamoja na mambo mengine kisheria ni kukamata wahalifu na kupeleleza. Wanapomkamata mtu anayetuhumiwa kufanya uhalifu, maana yake polisi wanatimiza wajibu wao kisheria. Kwa nini waanze kusema "mamlaka za juu" zimeagiza? This is unprofessional,unethical statement. Tundu lissu anatuhumiwa kutenda kosa la uchochezi ulio wazi kabisa na alialika watanzania wapaaze sauti kumpinga Raisi HALALI wa nchi. This is incitment contrary to s.390 of the Penal code. Kwanini polisi waseme "eti" mamlaka za juu zimeagiza.The police force should stop making such unauthorized and unethical statement. Wao watimize wajibu kadiri ulivyo..Mhalifu lazima akamatwe popote alipo regardless of his calibre or rank and/or position in the society. We are equal before the law. Kauli hizo za polisi ni za kichochezi. Wanawachonganisha wananchi na serikali.
 
kisheria hupaswi kukamata mtu basipo ushahidi wa kutosha. mtu aliyepaswa kukamatwa ni yule ambaye mna vielelezo vya kutosha. ni ukweli wanasiasa uchwara wanalitumia jeshi la polis kama ngao pale wanapokosolewa na wapinzani wao.
 
sasa unataka waseme uongo?,kama wameagizwa waachwe waseme ukweli tu, kwa mujibu wa taaluma za kipolisi hukamata watu wanaovunja sheria bila ya amri au magizo, na ikibidi kama mtu anakamatwa kwa amri na maagizo ya mtu asiekuwa polisi maana yake kakuna uvunjwaji wa sheria hapo, ni maagizo tu, kwa hio acheni waseme ukweli
 
Wajibu wa polisi pamoja na mambo mengine kisheria ni kukamata wahalifu na kupeleleza. Wanapomkamata mtu anayetuhumiwa kufanya uhalifu, maana yake polisi wanatimiza wajibu wao kisheria. Kwa nini waanze kusema "mamlaka za juu" zimeagiza? This is unprofessional,unethical statement. Tundu lissu anatuhumiwa kutenda kosa la uchochezi ulio wazi kabisa na alialika watanzania wapaaze sauti kumpinga Raisi wa nchi. This is incitment controry to s.390 of the Penal code. Kwanini polisi waseme eti mamlaka za juu zimeagiza.The police force should stop making such unauthorized and unethical statement. Wao watimize wajibu kadiri ulivyo..Mhalifu lazima akamatwe popote alipo regardless of his calibre or rank and/or position in the society. We are equal before the law.
Umeongea vizuri sana ila tambua kuwa jeshi letu la police linatumiwa vibaya sana,na wanasiasa we are equal but not similar
 
kwa kweli hiyo kauli kama inatoka kwa Polisi ni ya kichochezi, na huyo Polisi anayesema hivo atolewe front kabisa
 
Na kila leo huwa nawaambia kupitia jf kuwa wao kufanyia kazi wanasiasa ni kujishushia credibility na kujiongezea chuki baina ya wachukia uonevu.
Hivi hawaoni kuwa wanatumia kile kidogo tulichonacho ndivyo sivyo? Siioni mantiki ya kuwasha gari kutoka dar hadi dodoma na kuwalipa posho watakaokwenda huko kwa ajili ya jambo ambalo halina madhara ya moja kwa moja kwa watu wote bali kwa wachache walioguswa! Hebu tutumie raslimali kodi kwa weledi na manufaa ya wengi.
 
Sasa kosa lao lipo wapi?

Sheria hiyo hiyo inatoa mwanya/inaruhusu "mamlaka za juu" kutoa maagizo kwa jeshi la polisi kukamata mtu/watu fulani.

Sasa mtu akikamatwa kwa order ya executive kwa nini ifichwe?

Wajibu wa polisi pamoja na mambo mengine kisheria ni kukamata wahalifu na kupeleleza. Wanapomkamata mtu anayetuhumiwa kufanya uhalifu, maana yake polisi wanatimiza wajibu wao kisheria. Kwa nini waanze kusema "mamlaka za juu" zimeagiza?
 
Wajibu wa polisi pamoja na mambo mengine kisheria ni kukamata wahalifu na kupeleleza. Wanapomkamata mtu anayetuhumiwa kufanya uhalifu, maana yake polisi wanatimiza wajibu wao kisheria. Kwa nini waanze kusema "mamlaka za juu" zimeagiza? This is unprofessional,unethical statement. Tundu lissu anatuhumiwa kutenda kosa la uchochezi ulio wazi kabisa na alialika watanzania wapaaze sauti kumpinga Raisi wa nchi. This is incitment controry to s.390 of the Penal code. Kwanini polisi waseme eti mamlaka za juu zimeagiza.The police force should stop making such unauthorized and unethical statement. Wao watimize wajibu kadiri ulivyo..Mhalifu lazima akamatwe popote alipo regardless of his calibre or rank and/or position in the society. We are equal before the law.

Polisi wanajua kwamba hawakustahili kumkamata sababu hana hati,wameshurutishwa tu.Pole sana siku ukifungua akili na macho unaweza kuona
 
Wajibu wa polisi pamoja na mambo mengine kisheria ni kukamata wahalifu na kupeleleza. Wanapomkamata mtu anayetuhumiwa kufanya uhalifu, maana yake polisi wanatimiza wajibu wao kisheria. Kwa nini waanze kusema "mamlaka za juu" zimeagiza? This is unprofessional,unethical statement. Tundu lissu anatuhumiwa kutenda kosa la uchochezi ulio wazi kabisa na alialika watanzania wapaaze sauti kumpinga Raisi wa nchi. This is incitment controry to s.390 of the Penal code. Kwanini polisi waseme eti mamlaka za juu zimeagiza.The police force should stop making such unauthorized and unethical statement. Wao watimize wajibu kadiri ulivyo..Mhalifu lazima akamatwe popote alipo regardless of his calibre or rank and/or position in the society. We are equal before the law.
wanasema ukweli kwa nini unawalaumu unataka waongee uongo?
 
Wajibu wa polisi pamoja na mambo mengine kisheria ni kukamata wahalifu na kupeleleza. Wanapomkamata mtu anayetuhumiwa kufanya uhalifu, maana yake polisi wanatimiza wajibu wao kisheria. Kwa nini waanze kusema "mamlaka za juu" zimeagiza? This is unprofessional,unethical statement. Tundu lissu anatuhumiwa kutenda kosa la uchochezi ulio wazi kabisa na alialika watanzania wapaaze sauti kumpinga Raisi wa nchi. This is incitment controry to s.390 of the Penal code. Kwanini polisi waseme eti mamlaka za juu zimeagiza.The police force should stop making such unauthorized and unethical statement. Wao watimize wajibu kadiri ulivyo..Mhalifu lazima akamatwe popote alipo regardless of his calibre or rank and/or position in the society. We are equal before the law.
Wampeleke mahakamani haraka na kumfungulia mashitaka, wasingemkamata kama hana kosa
 
Ukikamata mtu kuna hatua ya kwenda mahakamani kushitaki na kutoa ushahidi. Hapo inabidi usimame mwenyewe na mzigo wako. Inaelekea polisi hawako tayari kubeba mizigo ya "mamlaka ya juu".
 
Back
Top Bottom