Kwani huyo kichaa atakuwa alikuwa anamsubiri Bashiru tu? Kwani huko alikofanya ziara hakuna binadamu wengine wanaoweza kujeruhiwa na huyo kichaa? Mbwembwe zisizo na kichwa wala miguu.Hebu waangalie hao vijana wanaomsindikiza vizuri, hiyo vaa yao inaashiria nini?? Yawezekana akatokea kichaa akampiga shaba, watasema walikuwa wapi?