NapeMbunge ni Mzee Membe?
Unamsingizia huyu maza bure, mimi sijui kama anajua atendaloBahati mbaya Heche anayepitia hayo ndie yule anayeenda ikulu kuongea na Samia kuhusu maridhiano.
Haya matukio wanayokutana nayo field yanaonesha kabisa Samia hajawahi kuwa serious kuhusu mazungumzo yao ya maridhiano, sijui kwanini bado wanaenda ikulu.
Kwasababu kwa akili ya kawaida, haiwezekani baada ya mazungumzo ya zaidi ya miezi sita, bado hali ni ile ile field kama kabla mazungumzo ya maridhiano hayajaanza, Chadema wanapotezewa muda tu.
Inawezekana Samia alilazimishwa kuitisha yale mazungumzo, hakufanya kwa mapenzi yake, yule mama ni dikteta, kwani anazidi kuthibitisha hilo kila siku kwa kauli zake zilizojaa utata.
Unaweza kuwa na mbwa wakali, wakawang'ata hata wageni halali uliowaruhusu kuingia kwako.Bahati mbaya Heche anayepitia hayo ndie yule anayeenda ikulu kuongea na Samia kuhusu maridhiano.
Haya matukio wanayokutana nayo field yanaonesha kabisa Samia hajawahi kuwa serious kuhusu mazungumzo yao ya maridhiano, sijui kwanini bado wanaenda ikulu.
Kwasababu kwa akili ya kawaida, haiwezekani baada ya mazungumzo ya zaidi ya miezi sita, bado hali ni ile ile field kama kabla mazungumzo ya maridhiano hayajaanza, Chadema wanapotezewa muda tu.
Inawezekana Samia alilazimishwa kuitisha yale mazungumzo, hakufanya kwa mapenzi yake, yule mama ni dikteta, kwani anazidi kuthibitisha hilo kila siku kwa kauli zake zilizojaa utata.
Anaonekana anapenda sana kuitwa mama...mama.. bila kuambiwa udhaifu wake, lakini akiambiwa ukweli anageuka mbogo, wakina Zitto wanamuharibu sana Rais wetu.Unamsingizia huyu maza bure, mimi sijui kama anajua atendalo
Ndio maana huwa tunawafungia bandani kunapokucha!.Unaweza kuwa na mbwa wakali, wakawang'ata hata wageni halali uliowaruhusu kuingia kwako.
Ndugu yangu hizi ni zama za uchawa...kusifu na kuabudu.Anaonekana anapenda sana kuitwa mama...mama.. bila kuambiwa udhaifu wake, lakini akiambiwa ukweli anageuka mbogo, wakina Zitto wanamuharibu sana Rais wetu.
Umesema kweli! Nyerere alikuwa mshenzi Sana! Alisema kwa katiba hii mnaweza kumpata rais dikteta! Kwanini hakuibadilisha?Haya ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
Hawatakuelewa hawa mapunguani!Ndugu yangu hizi ni zama za uchawa...kusifu na kuabudu.
Sijui hili pepo limetoka wapi badala ya kumsifu Mungu aliye hai
Wanasikia lakini hawaelewiHawatakuelewa hawa mapunguani!
..kuna kipindi Ccm walikuwa wakisema Chadema ni chama cha msimu. Kinaibuka na kufanya siasa wakati wa uchaguzi tu.
..sasa Chadema wamebadilika wanataka kufanya mikutano muda wote, Ccm wanatumia Polisi kuzuia mikutano hiyo.