Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,045
- 20,408
Hizo nguvu wangetumia kukamata wauza unga pale ferry na sinza mori pale big born.
Hizo nguvu wangetumia kukamata wauza unga pale ferry na sinza mori pale big born.
Unazungumzia wananchi wa nchi gani?Sasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi uvumilivu utawashinda na watakichafua. Watu wamechoka kuonewa na kunyanyaswa tokea 2015.
Nani alishindaMkuu hii ni Serikali ambayo haikushinda uchaguzi bali ilipora hivyo sidhani kama nakosea nikisema hii ni Serikali haramu.
Unajidanganya, pumbavu zako.Wewe bora mods wamekula kichwa hicho
Tena sana.
Jambazi moja Sabaya limeshapunguza, liko chini ya utawala wa cell leader(nyapara wa selo).Kazi ikiendelea haya yatapungua vilevile:
1)MAJAMBAZI
2)"WAFANYABIASHARA WA UNGA NGADA"
Yani unakosa hata kuona hoja ziko wapi...hili jukwaa limekuwa kichaka cha matusiVijana mnatumia lugha za matusi sana humu
Pale muhimbili kuna maabara ina vinasaba vya hii kitu ya upumuaji, ashikishwe atoke nao
Upekuzi ni muhimu maana walitumia lugha mbaya,so ni lazima wachunguzwe kama kuna mkono kutoka nje ya nchi
Eti mama wa kambo!
Na bado, si ulikuwa unamdemkia humu kwamba anaupiga mwingi baada ya dhalimu wako kufariki?
Aisee
Kwani uongo?Ndio hoja mnazokuja nazo sasa hivi baada ya ile ya anaupiga mwingi
Bavicha hawajifunzi kitu, wazee wa keyboard. Wana maandamano mitandaoni
Sasahivi wanajifariji na ile Space ya Maria Sarungi. Sasa sijui makongamano yao ya Twitter ndio yataleta Katiba mpya 😂😂😂😂Bavicha hawajifunzi kitu, wazee wa keyboard. Wana maandamano mitandaoni
Wananchi hawana muda na hayo maujinga yenu.. Katiba ndio itapeleka chakula kwenye meza zao au Katiba ni kwaajili ya maslahi ya wanasiasa??Sasa unawaambia wananchi hivi au chadema?
Mbowe na Chadema wanafundisha wananchi umuhimu wa kuanza mchakato wa kikatiba nyie mnaona kama wanakosea.
Umuhimu wa hili jambo wanalolisemea kina Mbowe na Mwamakula mtakuja kulitafuta kwa gharama kubwa sana!
Polisi wanayo mfukoni mwao kama kawaida!Asachiwe tu, ana madawa ya kulevya labda
Tuna dikteta Ikulu akiendelea kushupaza shingo bila kutoa uhuru na haki kwa Watanzania wote basi ataleta balaa kubwa sana nchini.