residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Kazi ya kimasikini kuanzia fikra, akili, mwili,rohoPolisi ni kazi ya laana.
Kazi ya kimasikini kuanzia fikra, akili, mwili,rohoPolisi ni kazi ya laana.
Kuhusu miradi iliyotekelezwa tafuta clip ya raisi mtaafu Jakaya M kikwete utaelewa zaidi.Ulisema "miradi ilianza...."pitia KOMENTI yako huko juu....
Sasa unasema "wazo lilianza"....which is which ndugu ?!!!
Tunaweza KUKUBALIANA kuwa UJENZI wa SGR na BWAWA LA NYERERE umeanzishwa na Hayati JPM ?!!!
Kama sivyo basi niambie wajenzi ARAB CONTRACTORS na wale WATURUKI walitiliana wapi saini ya uzinduzi wa ujenzi na hayati Mkapa?!!!
Mkuu kule MTUMBA ,kunaitwa MAGUFULI CITY....
Muktadha wangu wa uchanga wa ATCL uko katika kujiendesha KIBIASHARA.. Sasa Kama wangekuwa ni wakomavu kibiashara toka baba wa taifa mpaka awamu ya 4 wangekuwa na ndege 1 MKWECHE ?!!!
Haki hutaki kuizungumza ,basi hata ikizungumzwa na hasimu wako unanishona mdomo ?!!!
Mbowe amerudishwa DAR kwa ndege ya Serikali Kama walivyorudishwa UAMSHO mjini Zanzibar ule usiku....(wahusika wenyewe wanajua wafanyacho)
Jifunike miguuni Kuna mbu wengi hapo UANI "nyumba ya wageni vyumba vipo UFI IIPANI"
Kuhusu ACTL, Kuwa wakomavu kibiashara mwendazake alikuwa anawajaza mabumunda kwenye wizara nyeti unategemea nn?Kuhusu miradi iliyotekelezwa tafuta clip ya raisi mtaafu Jakaya M kikwete utaelewa zaidi.
Kuhusu mbowe kuletwa na ndege ya ATCL., huo ni moja ya ushamba uliofanya shirika hilo kutoweza kujiendesha na kupata faida since then,
Kuhusu mji kuitwa Mtumba City Mapambio kwenu hayaishi hata Kijazi interchange Ipo pia, kwani kijazi na Mfugale wanafaida gani? Ni majina tu ,
Pengine wangeweza kuita mji mmoja hata MATAGA TOWER, Aa MATAGA HIGHWAY kawaida sana hiyo.
Naanza kumuelewa alichomaanisha yule jamaa aliyekushambulia kwa maneno 🤣Kuhusu miradi iliyotekelezwa tafuta clip ya raisi mtaafu Jakaya M kikwete utaelewa zaidi.
Kuhusu mbowe kuletwa na ndege ya ATCL., huo ni moja ya ushamba uliofanya shirika hilo kutoweza kujiendesha na kupata faida since then...
utaendelea kesho shemi muda wa kukaa na shemi yako tujadili mambo ya familia. Ushauri kama una kaelimu kidogo jaribu kuongezea hapo ulipoishia . Labda itaelewa vizuri namaanisha nnNaanza kumuelewa alichomaanisha yule jamaa aliyekushambulia kwa maneno
Yaani hayati MFUGALE na KIJAZI hawakuwa na faida ?...
Ooo sawa.utaendelea kesho shemi muda wa kukaa na shemi yako tujadili mambo ya familia. Ushauri kama una kaelimu kidogo jaribu kuongezea hapo ulipoishia . Labda itaelewa vizuri namaanisha nn
Ngoja hiyo kazi ieendelee tuone itafika wapi.Ooo sawa.....
Wajibika hapo..
Hakuna mtawala mwema na muadilifu anayefumbia macho ISHARA za uvunjifu wa AMANI NA SALAMA bila ya kuchukua HATUA STAHIKI.Usichanganye mambo, wewe unadhani mimi nazungumzia katiba mpya au nazungumzia uonevu unaofanywa na serikali ya kipumbavu?
Sijawahi kuzungumzia katika mpya wala ya zamani popote si humu JF wala pengine popote...
Kazi ikiendelea haya yatapungua vilevile:Ngoja hiyo kazi ieendelee tuone itafika wapi.
Mkuu hii ni Serikali ambayo haikushinda uchaguzi bali ilipora hivyo sidhani kama nakosea nikisema hii ni Serikali haramu.
Hakuna mtawala mwema na muadilifu anayefumbia macho ISHARA za uvunjifu wa AMANI NA SALAMA bila ya kuchukua HATUA STAHIKI....
Hizi kauli zimezoeleka sana.Sasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi uvumilivu utawashinda na watakichafua. Watu wamechoka kuonewa na kunyanyaswa tokea 2015.
...👍kauli za KIBOYA ,kutoka midomoni mwa MABOYA....Hizi kauli zimezoeleka sana.
Mungu atafanya kazi yake soonTupige maombi Radi itandike tena....
Soma katibaHalafu uhalali wa hii serikali uko wapi?
Tujiulize waliingia madarakani kwa kupitia uchaguzi gani?
Tukipata majibu, basi tutakuwa pia tumepata majibu ya haya matendo.
Madawa ya kulevya ndo biashara zake kubwaAsachiwe tu, ana madawa ya kulevya labda
Kwani unadhani wenye laana za wazazi wao hawakuwahi kuwafanyia zuri hata moja?Mzee wako anataka tuishi maisha ya PORINI?!!
Unawatizama POLISI kwa mabaya tu...je umewatizama kwa MAZURI ?!!!
Unataka tutafute jina jengine mbali ya "POLISI" kuwaita WATAKAOIFANYA KAZI YAO?!!!
Eti mama wa kambo!Mama wa kambo angetumia jeshi la polisi kuwakamata waliojiunganishia bomba la mafuta tungemuona wa maana, lakini anatumia jeshi la polisi kuzuia madai ya halali tena kwenye mkutano wa ndani na amani!? Kweli wazungu huwa hawakosei kutuita manyani.