Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,506
- 1,627
Kumbe hawa viongoz wameishalaaniwa na waowasapot,maombi siku hiz yanazuiwa,kwe hii Nchi Lucifer kaiteka
Ni kweli kabisa, bora wangekuombea wewe ufunguke inaonekana una pepo chafu!Bora wazuie..mambo mengine ni upuuzi..badala ya kuombea mambo ya msingi kama matetemeko na vitu vingine..mnahangaika na msaliti..hao ACACIA wenyewe ambao ni mwajiri hawajatuma hata mwakilishi kwenda nairobi
Nime ipenda hii idea, hii itasaidia pia kuwaondoa hawa wanao kaa barabarani na kutoza fine.Siku hizi kazi za polisi zinapangwa na chadema, nashauri viongozi wa chadema waendelee na utaratibu huu wa kuwapangia kazi polisi mpaka Lissu atakapopona, kila siku wawe wanatangaza maombi au maandamano mbalimbali ili kuwa keep bize askari
Watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa CHADEMA wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa kuhojiwa kuhusu mpango wa maombezi uliopangwa kufanyika katika uwanja wa Tip -Sinza, wilayani Ubungo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Murilo Jumanne aliyekuwa uwanjani hapo na kikosi cha askari zaidi ya 25 amesema watu hao walikamatwa saa 3:40 asubuhi wakiwa eneo hilo.
"Tunawashikilia na tutawahoji kama wana uhusiano na kile kilichopangwa kufanyika hapa kwa sababu kilishapigwa marufuku. Kama hawana uhusiano tutawaachia," amesema Kamanda Jumanne.
Amesema, “Atakayetaka kujaribu aje ila cha moto atakiona kwa sababu jitihada za kuzuia watu wema wasikanyage hapa zimeshafanyika sasa wanakuja kufuata nini."
Katika eneo hilo, polisi walikuwa wakiziondoa bajaji wakiwataka madereva wasiziegeshe hapo kwa siku ya leo.
Baadhi ya polisi wameonekana wakiwa na mabomu ya kutoa machozi na walifika uwanjani hapo wakiwa kwenye magari aina ya Toyota Land Cruiser.
Uwanjani hapo hivi sasa ni kweupe kukiwa hakuna maandalizi yoyote kuonyesha kuwa patakuwa na maombezi.
Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo –Chadema (Bavicha) jana Jumamosi lilitoa taarifa likisema leo litaungana na viongozi wa kiroho kufanya maombi maalumu kumwombea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anayeendelea na matibabu Nairobi, Kenya baada ya kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi Septemba 7.
Viongozi wa Bavicha waliofika uwanjani hapo muda si mrefu wamekimbia baada ya polisi kuwafuata walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari.
Chanzo: Mwanachi
Siku hizi kazi za polisi zinapangwa na chadema, nashauri viongozi wa chadema waendelee na utaratibu huu wa kuwapangia kazi polisi mpaka Lissu atakapopona, kila siku wawe wanatangaza maombi au maandamano mbalimbali ili kuwa keep bize askari
Bashite yupo kwa waganga wa kienyeji week yote hii anahofia nguvu za Mungu kumuumbua ndiyo maana wanatumia polisiccm kuzuia kila maombi juu ya LisuNgosha ana choyo sana. Yeye kila siku anaomba kuombewa wengine wanakatazwa. Hajui Mungu anaona unafiki tusioweza kuona sisi binadamu
Ni ruksa kukusanyika kwenye mbio za Mwenge kufanya mapenzi bila Kinga na kuambukizana maradhi, lakini kukusanyika kumuombea Lisu Bashite Maliyamungu hataki kwani bado yupo kwa Sangoma anaomba Lisu afe huko huko Nairobi.Kwaiyo ni kosa kisheria kukutana sehemu kufanya maombezi,,,Ila ni ruksa kukutana kwa wingi kwajili ya fiesta na mambo mengine ya uhasherati
sala ni popote tena sala ya kumuombea mgonjwa CCM wanaizuia? hiyo sala ingekuwa ni kwa ajili ya kumuombea Mtukufu malaika wa chato hao Polisiccm wangekwenda huko?Jamani tuna misikiti na makanisa,Hayamambo yanatoka wapi?
Tumuombee tukiwa kwenye Ibada.
Kikulacho kinguoni mwako,Swaala la mhe.LISU linahitaji umakini.
Kumbuka aliyejuu kwa maslai yake huwa apendi mwingine awe kama yeye.
Chadema inamdudu anayependa kula wadudu wengine.
Lipumba ana kikundi cha Ugaidi kipo Rwanda alikiunda kipindi cha kampeni wakati akiishi Rwanda na sasa kampata mfadhili mzuri Bashite Maliyamungu wapo busy kuwaua Wapinzani wemgi.Hii nchi imekuwa Rwanda siku hizi
Hamuwezi kuombea makanisani au misikitini kwenu hadi mwende sinza na migwanda yenu!! Kha! Machadema mnakera sana.Ngosha ana choyo sana. Yeye kila siku anaomba kuombewa wengine wanakatazwa. Hajui Mungu anaona unafiki tusioweza kuona sisi binadamu
Sasa mlitaka kwenda Sinza kufanya nini?Ata wakiwazuia maombi yalishafika kwa Jah inshaalah maombi yatajibiwa.
Albadir imewarudi wenyewe! Misiba kwao tayari! Wengine wamedondoka wako hoi!Wazee wa Alba dir wako wapi?
Wawaonganishe
Ian pointBAVICHA wamekosea sana,haya maombi walitakiwa wayapangie Goba,kule kuna ujambazi sana,nadhan wakazi wa Goba tungelala kwa amani maana Polisi wangepiga doria usiku kucha