pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Sumu za kisasa zinafanya mengi
Zitto Aachiwa, Polisi Wachukua Simu Yake, Ofisi za ACT Wazalendo Kupekuliwa Kutafuta Nyaraka za Kusinyaa kwa Uchumi
Leo Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto aliripoti Kituo cha Polisi Kamata jijini Dar es salaam kama alivyotakiwa awali na jeshi hilo. Jeshi la Polisi limechukua simu ya ndugu Zitto kwa maelezo kuwa itasaidia uchunguzi wao, na wameahidi kuwa watairudisha kwake kesho jioni, na ametakiwa kurudi kituoni hapo Novemba 21, 2017.
Pia Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuwa litakwenda katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha ACT Wazalendo, kwa Lengo la kufanya upekuzi wa Ofisi hizo wakitafuta nyaraka zilizotumika na Chama kufanya Uchambuzi wa Takwimu za Serikali ambao unaonyesha Uchumi wa Nchi yetu "UNASINYAA".
Ado Shaibu
Katibu - Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma
ACT Wazalendo
Novemba 7, 2017
Dar es salaam
Kiroho tunasema wamepigwa upofu! Na hii humtokea mtu anayefanya yasiyompendeza MunguOfisini na Nyumbani kwa hao viongozi wa ACT wangeenda kimya kimya, wasinge tangaza
Vitu kama Laptops, Tablets, Desktops na CPU zake, Flash disk, CD watavikosa
Watuhumiwa watavitoa na kuvificha kwingine
Vyombo vya usalama hapa wamekosea sana
Labda wataikamua itoe juice....simu ya zitto ndo inajenga viwanda??
Watumishi wa serikali wenye tabia mbovu za kuvujisha siri wataumbuka baada ya simu kutizamwa!
watnzania wengi ni wajinga sana taarifa zote za mwenendo wa uchumi zipo kwenye mtandao wa BOT sasa ni mfanyakazi gani huyo mwenye kutoa siri?Watumishi wa serikali wenye tabia mbovu za kuvujisha siri wataumbuka baada ya simu kutizamwa!
Sidhani kama polisiem wanajua tech ya dunia hii. Mimi naweza kuqa na laptop hapa lakini server ipo Poland. I access the sarver na kufanya yangu. Jkija kwenye laptop hukuti kitu...labda finger prints tu.Ofisini na Nyumbani kwa hao viongozi wa ACT wangeenda kimya kimya, wasinge tangaza
Vitu kama Laptops, Tablets, Desktops na CPU zake, Flash disk, CD watavikosa
Watuhumiwa watavitoa na kuvificha kwingine
Vyombo vya usalama hapa wamekosea sana
kumbe ni kweliWatumishi wa serikali wenye tabia mbovu za kuvujisha siri wataumbuka baada ya simu kutizamwa!
Lini walipatia mkuu?? Walishindwa kumkill Lissu livu pale area D na livu bullets 38 kutumia bomba la SMG......gvt should invest in our national security.... kuna kazi zingine hawa form fours failures wanaweza kufanya...kama wasukuma mikokoteni,vijana wasungusungu vijijini n.kOfisini na Nyumbani kwa hao viongozi wa ACT wangeenda kimya kimya, wasinge tangaza
Vitu kama Laptops, Tablets, Desktops na CPU zake, Flash disk, CD watavikosa
Watuhumiwa watavitoa na kuvificha kwingine
Vyombo vya usalama hapa wamekosea sana