Police wa Jimbo la Florida nchini US wameweka silaha zao chini na wakapiga magoti mbele ya waandamanaji kuwaomba msamaha, wamekubali kubeba lawama kwa kifo cha Floyd. Humanity restored.
Mwingine kaugonjwa kadogo tu amekimbilia kijiji kwake kujifungia kwa siku 50.Hawa jamaa wanajua kuandamana bwana ... sio huyu mr Saccos akitishiwa kidogo anajifungia ndani na genge lake la wahuni
Hao ni Mabeberu wametesa sana mtu mweusi
Bwashee wapinzani wanajitesa wenyewe!Kama jiwe anavyowatesa wapinzani.
Usicheze na nguvu ya umma!
watatoa adhabu ila sio inayostahili amini nakwambia walishawahi kumuachia polisi aloua kwaujinga kama huoNafsi inawasuta,Floyd kama mhalifu alistahili kuadhibiwa,lakini walichokifanya ni zaidi ya adhabu,wana mbinu nyingi sana wanazijua za kuadhibu lakini walichokifanya was beyond human torture,that was a deliberate killing.Nina uhakika mahakama itatoa adhabu inayostahili kwa wahusika,na hili walilofanya Polisi wa Florida linatakiwa lifanywe na Polisi wa states nyingine zote ili kupunguza machungu na hasira walizonazo blacks...
Sio blacks pekeeNafsi inawasuta,Floyd kama mhalifu alistahili kuadhibiwa,lakini walichokifanya ni zaidi ya adhabu,wana mbinu nyingi sana wanazijua za kuadhibu lakini walichokifanya was beyond human torture,that was a deliberate killing.Nina uhakika mahakama itatoa adhabu inayostahili kwa wahusika,na hili walilofanya Polisi wa Florida linatakiwa lifanywe na Polisi wa states nyingine zote ili kupunguza machungu na hasira walizonazo blacks...