nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
nilipodadisi nikaambiwa kumbe walipewa pikipiki zile si kwaajili ya kuwasaidia Trafic na maofisa wa TRA KAZI ZAO BALI ni kwaajili ya kukabiliana na uhalifu kwa maana ya Ujambazi na kuwa katika hali ya tahadhali kwa matukio makubwa.
Wanapaswa kufanya Doria za mtaa kwa mtaa, kukabiliana na wahalifu wa silaha na sio kukabiliana na waendesha bodaboda na malori ya mkaa