gaba peter
Senior Member
- Jan 7, 2016
- 178
- 65
nguruwe anakutia hasira! acha waibe tuu naona hio ni dodoma mnaachia nguruwe kama mbuz bhana mpaka kwenye vyombo vyawasio wala.Kuna wanatu ambao hadi sasa hawajulikani ni wakina nani na wanatoka wapi, hawa jamaa wanaiba nguruwe kwa kuwapa sumu ili wasipige kelele baadaye wanawachinja na kuondoka na nyama.
Huu wizi unakaribia mwezi wa tatu, wanachokifanya wakiiba leo kijiji kimoja wanahamia kesho Kijiji kingine kuanzia Chinangali, Manchali Hombolo, Buigir wanaiba hadi wenye mimba na wenye watoto.
Inatia hasira sana tunaomba msaada kwa vyombo vya ulinzi mtusaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app