Polisi Kanda Maalum ya Tarime na Rorya imegundua Ekari 20 za mashamba ya bangi, yakiwemo magunia 40 ya bangi kavu katika oparesheni kali ya kupambana na kilimo na biashara ya dawa za kulevya inayoendelea Wilayani Tarime Mkoani Mara.
Chanzo: Radio one
Chanzo: Radio one