Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
full suti za mabati
wana-patisheni nyumba kwa kutumia mashuka ili kuzisitiri familia.
Nenda kota za oysterbay. jifanye mgeni. ingia ndani uone namna baba na binti yake wanavyopishana kwenye ukuta wa shuka uku binti na khanga moja, baba na boksa. aibu!
wakiamka wanaenda kuuwa raia, badala ya kuongoza harakati za kupinga utawala dhalimu wa kifisadi wa serikali ya Tanzania chini ya CCM
i hate them.