Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo

Jeshi la Polisi waachieni ndugu zetu wakiritu washerekee sherehe zao bila ya bugudha, Magu kashatangulia kilichobaki tusonge mbele acheni siasa
 
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
 
Ingekuwa nchi nyingine, kuna watu wangepoteza kazi kwa kutoa amri kama hizi. Ila kwa kuwa ni ndugu zangu Watanzania, hili litapita na litatekelezwa.
 
Acheni haya mambo, Yesu ni mkuu kuliko binadamu. Kufufuka kwa Yesu kristo ni sherehe kubwa sana katika imani ya Ukristo.
Sherehe za pasaka/XMass au zote za kikatoliki zinasherehekewa kiroho kwa kufurahia kufufuka kwa Yesu mioyoni mwa waamini. Husherehekewa kwa kufanya toba na kuadhimishwa misa takatifu.

Wenye uwezo hukaa na familia na jamaa kula na kunywa. Natuamaini Polisi haijakataza hayo. Ukisherehekea pasaka kinyume na hapo kama kwenda kunywa vilevi au mengine ya mwili basi utaishia kujichumia dhambi bure. Maana Kristo atakua kafufuka mwilini mwako na sio rohoni mwako.....Mkatoliki mkamirifu hawezi kupinga juu ya hilo
Wewe ulitaka kuiadhimisha vipi???
 
Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Wonders shall never cease!!!
 
cha msingi hawajakataza bia
IMG_20201025_221424[1].jpg
 
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

Aiseee mbona kazi ipo....yaani watu wasisherekee kufufuka kwa kristo?
 
Mbona nyerere day bua zinauzwa kuanzia saa 3 asubuhi......
Vita hii sio ya wakristo vs serikali. Hii ni vita ya M/MUNGU vs SERIKALI.
Tamko kutoka TEC linasubiriwa kwa dakika hizi
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom