STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Jeshi la Polisi waachieni ndugu zetu wakiritu washerekee sherehe zao bila ya bugudha, Magu kashatangulia kilichobaki tusonge mbele acheni siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui wale mbuzi nilioagiza na wageni kupewa mwaliko nitawapeleka wpi mjini hapa.Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Sherehe za pasaka/XMass au zote za kikatoliki zinasherehekewa kiroho kwa kufurahia kufufuka kwa Yesu mioyoni mwa waamini. Husherehekewa kwa kufanya toba na kuadhimishwa misa takatifu.Acheni haya mambo, Yesu ni mkuu kuliko binadamu. Kufufuka kwa Yesu kristo ni sherehe kubwa sana katika imani ya Ukristo.
Wonders shall never cease!!!Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Wonders shall never cease!!!Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.