Polisi sasa waruhusiwa kuangalia status ya uhamiaji Arizona.

Unaona sasa jinsi ulivyo ignorant! Yaani kwa akili yako unadhani Democrats ndio savior wa watu weusi? Kweli umeula wa chuya kama hivyo ndivyo unavyodhani. Kwa taarifa yako hao Democraps wanawatumia nyinyi kama political pawns tu. They don't even fight for your vote coz they know they have it on lock....90% of you vote democratic. Pathetic

...another Rushbo talking point,tumezoea hizo nyimbo!
 
Kwanza concept nzima ya "reasonable suspicion" iko oxymoronic.

If it is reasonable, it should be beyond suspicion, if it is suspicious, it is beneath reason.

Ndiyo maana certain interpretations za Fourth Amendments of the US Constitution stemming from the Bill of rights zinaweka bar juu zaidi kwenye probable cause. Maana yake huwezi kutoa a blanket authority kwa polii kuwasimamisha watu barabarani tu, watu walishayakataa haya tangu enzi za American Revolution War huko, leo hii AZ mashimoni wanataka kuwarudisha nyuma watu miaka 300.
 
Kwanza concept nzima ya "reasonable suspicion" iko oxymoronic.

If it is reasonable, it should be beyond suspicion, if it is suspicious, it is beneath reason.

Ndiyo maana certain interpretations za Fourth Amendments of the US Constitution stemming from the Bill of rights zinaweka bar juu zaidi kwenye probable cause. Maana yake huwezi kutoa a blanket authority kwa polii kuwasimamisha watu barabarani tu, watu walishayakataa haya tangu enzi za American Revolution War huko, leo hii AZ mashimoni wanataka kuwarudisha nyuma watu miaka 300.

Kiranga...sasa wewe unatataka kuleta mchezo wa semantics tu hapa....kama unahoji mantiki ya 'reasonable suspicion' basi nachukulia pia unahoji mantiki ya 'reasonable doubt', siyo?
 
I don't understand why you keep bringing up the issue of CONSTITUTIONALITY of having in one's possession PERSONAL ID (i.e., Drivers License. Passport, SS#, etc) at all times versus this particular Law.

The fact that an individual isn't able to provide "proper immigration paperwork" (i.e., Green Card or may be even some other form of Personal ID) at any given place and time WHEN ordered to do so by Law Enforcement does not necessarily mean that one is an Illegal.

Simply providing correct Name (and Address) to Law Enforcement should suffice: afterall its Law Enforcement's job to verify the truthfulness of all information provided by a potential suspect, and they definitely have a load of means to determine anybody's Immigrant Status.

Dude,

Uliiona hii part kutoka post ya kwanza?

The bill, known as SB 1070, makes it a misdemeanor to lack proper immigration paperwork in Arizona. It also requires police officers, if they form a "reasonable suspicion" that someone is an illegal immigrant, to determine the person's immigration status.

Yaani ukikosa proper immigration paperwork ni misdemeanor, sasa kama mimi Mmarekani sina shughuli na immigration na sihitaji immigration papers nikiulizwa immigration papers nikianza kuimba sijui mimi mzawa ila kilipanda kikashuka document zangu ziliungua moto nyumbani, au sijawhi kuwa na document zozote, tayari nishapata misdemeanor.

Unaona objection yangu hapa?
 
Yaani ukikosa proper immigration paperwork ni misdemeanor, sasa kama mimi Mmarekani sina shughuli na immigration na sihitaji immigration papers nikiulizwa immigration papers nikianza kuimba sijui mimi mzawa ila kilipanda kikashuka document zangu ziliungua moto nyumbani, au sijawhi kuwa na document zozote, tayari nishapata misdemeanor.

Unaona objection yangu hapa?

Kiranga...lakini hii sheria haihitaji watu kutembea na makaratasi yao mfukoni. Na hata kama ulikuwa nazo zikaungua nyumbani si kuna agency ambayo ina rekodi zako? Hiyo misdemeanor hauipati on the spot....kuna process nzima itakayopelekea kudungwa hiyo misdemeanor kwenye rekodi yako. Kwenye majimbo mengi ni kosa kuendesha gari bila kuwa na proof of insurance ndani ya gari lako. Ikitokea umesimamishwa na ukashindwa kutoa proof paop hapo mara nyingi utapewa tiketi ya kuendesha bila kuwa na insurance. Kama ulikuwa tu umeisahau kadi yako nyumbani basi hutalazimika kulipa hiyo faini na kwenye rekodi yako haitarekodiwa kuwa ulikuwa unaendesha gari bila insurance baada ya kutoa proof kuwa gari lako lilikuwa insured wakati umekamatwa.
 
Dude,

Uliiona hii part kutoka post ya kwanza?



Yaani ukikosa proper immigration paperwork ni misdemeanor, sasa kama mimi Mmarekani sina shughuli na immigration na sihitaji immigration papers nikiulizwa immigration papers nikianza kuimba sijui mimi mzawa ila kilipanda kikashuka document zangu ziliungua moto nyumbani, au sijawhi kuwa na document zozote, tayari nishapata misdemeanor.

Unaona objection yangu hapa?

Kwenye scenario kama hiyo nadhani watakuuliza Drivers License (au Jina and/or SS# lakini ukishindwa kujitambulisha kwa namna yoyote, basi utawapa "probable cause" na wanaweza kuomba warrant ya kufanya search unapoishi etc) halafu wataku-screen kupitia Database za Dept. of Homeland Security (USCIS), Social Security nk, na watapata immigration records zako yote pamoja na picha na fingerprints zako.
 
Arizona Gov. Jan Brewer signed a state bill friday that requires Police to determine wether the person is in United States Illegally...but critics say that will foster racial profiling and discrimination.






Source: CNN
 
Marekani ina haki ya kuhakikisha watu waliopo kwenye ardhi yao ni halali. I don't care what anybody says it's their right. Tatizo ni kwamba hizi hatua wamechelewa kuzi anzisha. Tayari kuna large population ya Wamarekani ambao aidha wenyewe ni wahamiaji au ni watoto au wajukuu wa wahamiaji. Hawa wahamiaji(Wengi wao wakiwa Wamexico au Latin descendants) wamesha kuwa wengi na wameshika ofisi nyingi zenye ushawishi na tayari ni lobby group kubwa. Kwa hiyo sasa hivi uwe for or against lazima uta raise controversy. Marekani wamelea ugonjwa na ni sasa hivi tu ambapo homa limeanza kuwagusa ndiyo wana hangaika kutafuta dawa.
 
Marekani ina haki ya kuhakikisha watu waliopo kwenye ardhi yao ni halali. I don't care what anybody says it's their right. Tatizo ni kwamba hizi hatua wamechelewa kuzi anzisha. Tayari kuna large population ya Wamarekani ambao aidha wenyewe ni wahamiaji au ni watoto au wajukuu wa wahamiaji. Hawa wahamiaji(Wengi wao wakiwa Wamexico au Latin descendants) wamesha kuwa wengi na wameshika ofisi nyingi zenye ushawishi na tayari ni lobby group kubwa. Kwa hiyo sasa hivi uwe for or against lazima uta raise controversy. Marekani wamelea ugonjwa na ni sasa hivi tu ambapo homa limeanza kuwagusa ndiyo wana hangaika kutafuta dawa.

Tottaly agree, you're right on point!
 
Arizona Gov. Jan Brewer signed a state bill friday that requires Police to determine wether the person is in United States Illegally...but critics say that will foster racial profiling and discrimination.
Source: CNN

Unalialia nini,huna kwenu?Rudi ujenge nji acha use...
 
Marekani ina haki ya kuhakikisha watu waliopo kwenye ardhi yao ni halali. I don't care what anybody says it's their right. Tatizo ni kwamba hizi hatua wamechelewa kuzi anzisha. Tayari kuna large population ya Wamarekani ambao aidha wenyewe ni wahamiaji au ni watoto au wajukuu wa wahamiaji. Hawa wahamiaji(Wengi wao wakiwa Wamexico au Latin descendants) wamesha kuwa wengi na wameshika ofisi nyingi zenye ushawishi na tayari ni lobby group kubwa. Kwa hiyo sasa hivi uwe for or against lazima uta raise controversy. Marekani wamelea ugonjwa na ni sasa hivi tu ambapo homa limeanza kuwagusa ndiyo wana hangaika kutafuta dawa.

Hakika kabisa. Marekani ina haki zote kuhakikisha waliopo ndani ya mipaka yao ni halali na mimi nawapongeza na kuwaunga mkono wana Arizona kwa kuonesha mfano wa kuigwa na majimbo mengine.
 
Who is a true American?

Very good and true question but, those in power, when this issue rose, were supposed to work on it before it got to this point and out of hand. As Mwana F. said, wamelea ugonjwa sasa homa yawatoa jasho. The prez. said they failed to act on the federal level, may be now that some states r' taking it on their own, the federal gov. will do something bout it . Lets keep watching.
 
Who is a true American?

It's not about who is a true American and who isn't. It's about the rule of law. But if we start asking who the true what then we're not going to get anywhere. Who is the true Tanzanian? Or why don't you cross the border (illegally) and when you get caught ask them who is a true Mexican.....
 
Who is a true American?
The issue is not about being American or not. The issue is whether one is in the States illegally or not. Why are we acting up because it's America? Bongo kila siku people get worked up about candidates/leaders who are supposedly not Tanzanian. Fact is every body has to be documented. Even those who are American citizens have papers to prove their status.
 
Arizona Gov. Jan Brewer signed a state bill friday that requires Police to determine wether the person is in United States Illegally...but critics say that will foster racial profiling and discrimination.


Source: CNN


Safi sana, nadhani na mataifa mengine yaige, hivi jamani kwetu kuna control yeyote kweli, huwa najiuliza hivi wimbi la wachina, wasomali, wakenya, nk wanaoingia kuishi na kufanya biashara wanavibali kweli au ndio shamba la bibi,
 
hii bill ya arizona huko UK NZIMA iko siku nyingi tu,polisi akikukamata anaweza kuwasiliana na IMMIGRATION DEPT akiona kuna umuhimu wa kufanya hivyo,lakini ni nadra sana kukamatwa au kusimamishwa na polisi bila sababu kubwa au criminal offense,so watu wengi wasio na makaratasi kitu cha kwanza wanakaa mbali sana na magari(driving) coz ukiendesha anytime utasimamishwa na maswali mengine yataanzia hapo.
 
AFP/Getty Images/File – Demonstrators protest Arizona's new immigration law outside the Arizona state capitol building on …





By JONATHAN J. COOPER, Associated Press Writer Jonathan J. Cooper, Associated Press Writer – Sun Apr 25, 6:33 am ET
PHOENIX – Opponents who fear that Arizona's tough new immigration law will lead to police harassment of legal immigrants and U.S. citizens who look Hispanic are set to demonstrate against the measure at the state Capitol Sunday afternoon.
The rally comes two days after Gov. Jan Brewer signed a bill that requires police to question people about their immigration status — including asking for identification — if they suspect someone is in the country illegally. The law also toughens restrictions on hiring illegal immigrants for day labor and knowingly transporting them.
Civil rights advocates have vowed to challenge the law in court, saying it would undoubtedly lead to racial profiling despite Brewer's assurances.
Supporters have dismissed those concerns, saying the law prohibits the use of race or nationality as the sole basis for an immigration check. Brewer has ordered state officials to develop a training course for officers to learn what constitutes reasonable suspicion someone is in the U.S. illegally.
Hundreds gathered outside the state Capitol in Phoenix on Friday shouting that the bill would lead to civil rights abuses. After she signed the bill, Brewer said critics were "overreacting."
A handful of protesters lingered at the Capitol Saturday morning. Others gathered in Tucson outside the campaign headquarters of U.S. Rep. Raul Grijalva, a Democrat who opposes the measure and has called on businesses and groups looking for convention and meeting locations to boycott Arizona.
Current law in Arizona and most states doesn't require police to ask about the immigration status of those they encounter, and many police departments prohibit officers from inquiring out of fear immigrants won't cooperate in other investigations.
The new law makes it a crime under state law to be in the country illegally. Immigrants unable to produce documents showing they are allowed to be in the U.S. could be arrested, jailed for up to six months and fined $2,500. It also allows lawsuits against government agencies that hinder enforcement of immigration laws.
Mexican President Felipe Calderon's office said in a statement Saturday that "the Mexican government condemns the approval of the law" and "the criminalization of migration, far from contributing to collaboration and cooperation between Mexico and the state of Arizona, represents an obstacle to solving the shared problems of the border region."
Arizona has an estimated 460,000 illegal immigrants and is the state with the most illegal border crossings, with the harsh, remote desert serving as the gateway for thousands of Mexicans and Central Americans.
___
Associated Press writers Paul Davenport in Phoenix and Mark Stevenson in Mexico City contributed to this report.
http://news.yahoo.com/s/ap/20100425...DeW5fdG9wX3N0b3JpZXMEc2xrA2lsbGVnYWxpbW1pZw--
 
YOU COULD BE NEXT.

Hey Harry, see that guy over there looking like Ricky Martin? I bet he is a Mexican. Nah, he looks like a white guy with a really nice tan. Or, he could be Italian. Nah, if he was Italian he wouldn't be driving a Chevy. Those Mexicans really love Chevys. Yeah,you might be right....look he is talking to that other guy, can you tell if he is speaking English? Naw, I can't see from here....
UKIONA MWENZA ANANYOLEWA, TIA MAJI KICHWANI
 
Back
Top Bottom