YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Polisi wamekuwa wakikamata madereva wakivuka kile kinachoitwa zebra crossing kuwa umepita bila kusimama eneo la zebra crossing.Zebra Ni pundamilia .
Sasa mtu hujaona pundamilia ukapitiliza unashikiwa kosa gani? Hilo neno lilitolewa na wazungu kwa kutuona sisi waafrika Ni Kama pundamilia tu.
Kwao wanaita pedesterian crossing yaani kivuko Cha waendao.kwa miguu.Sisi tumebaki kuitana zebra Kamanda Sirro waambie Askari wako kutukana watu kuwambia madereva wametenda kosa zebra crossing Sio sawa.
Wale wanaovuka pale Ni binadamu Sio pundamilia
Sasa mtu hujaona pundamilia ukapitiliza unashikiwa kosa gani? Hilo neno lilitolewa na wazungu kwa kutuona sisi waafrika Ni Kama pundamilia tu.
Kwao wanaita pedesterian crossing yaani kivuko Cha waendao.kwa miguu.Sisi tumebaki kuitana zebra Kamanda Sirro waambie Askari wako kutukana watu kuwambia madereva wametenda kosa zebra crossing Sio sawa.
Wale wanaovuka pale Ni binadamu Sio pundamilia