Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Wazungu wana msemo kwamba "some people are so vain that they forget to be clever"
Ndivyo navyowaona Polisi wetu wa Tanzania. Yaani mtu mwenye tuhuma nzito za kutaka kuua viongozi, hadi unamkamata lazima uwe na ushahidi dhidi yake mzito. Sasa iweje unamkamata kwa tuhuma nzito kiasi hicho, halafu ndio unaenda nae nyumbani kwake kutafuta ushahidi na kuchukua tablets za watoto?
Halafu bila aibu unawatangazia watu kwamba Mbowe alijua karibu atakamatwa Dar kwa tuhuma za ugaidi kutaka kuua viongozi ndio maana akakimbilia Mwanza. Kwa hiyo, kwa akili ya Polisi, Mbowe amekimbilia Mwanza na kuacha ushahidi nyumbani unaoonyesha anakula njama za kuua viongozi! Mtu ambaye mnamfuatilia kwa makosa ya kutaka kuua viongozi mnampa nafasi hadi ya kusafiri Mwanza ina maana hamkuwa mnam-shadow 24hrs a day? Hadithi za kuuza kwa watu wenye akili hizo? Why are you insulting the intelligence of Tanzanians?
Hivi mtu anaepanga kuua viongozi anakuwa mjinga kiasi hicho cha kuacha ushahidi kwenye laptop nyumbani? Hapa kuna mawili, aidha Mbowe ni so vain, au Polisi ndio extremely vain.
Sasa kama Polisi mnataka kum-harass Mbowe, angalau tafuteni kitu chenye mshiko, sio uchwara kama huu wa kusema alitaka kuua viongozi ili tu mumtie ndani na kumnyima dhamanaa kwa lengo la kuua kampeni yake ya Katiba mpya. Mnakuwa so vain that you completely forget to be clever. Shame on you.
Ndivyo navyowaona Polisi wetu wa Tanzania. Yaani mtu mwenye tuhuma nzito za kutaka kuua viongozi, hadi unamkamata lazima uwe na ushahidi dhidi yake mzito. Sasa iweje unamkamata kwa tuhuma nzito kiasi hicho, halafu ndio unaenda nae nyumbani kwake kutafuta ushahidi na kuchukua tablets za watoto?
Halafu bila aibu unawatangazia watu kwamba Mbowe alijua karibu atakamatwa Dar kwa tuhuma za ugaidi kutaka kuua viongozi ndio maana akakimbilia Mwanza. Kwa hiyo, kwa akili ya Polisi, Mbowe amekimbilia Mwanza na kuacha ushahidi nyumbani unaoonyesha anakula njama za kuua viongozi! Mtu ambaye mnamfuatilia kwa makosa ya kutaka kuua viongozi mnampa nafasi hadi ya kusafiri Mwanza ina maana hamkuwa mnam-shadow 24hrs a day? Hadithi za kuuza kwa watu wenye akili hizo? Why are you insulting the intelligence of Tanzanians?
Hivi mtu anaepanga kuua viongozi anakuwa mjinga kiasi hicho cha kuacha ushahidi kwenye laptop nyumbani? Hapa kuna mawili, aidha Mbowe ni so vain, au Polisi ndio extremely vain.
Sasa kama Polisi mnataka kum-harass Mbowe, angalau tafuteni kitu chenye mshiko, sio uchwara kama huu wa kusema alitaka kuua viongozi ili tu mumtie ndani na kumnyima dhamanaa kwa lengo la kuua kampeni yake ya Katiba mpya. Mnakuwa so vain that you completely forget to be clever. Shame on you.