Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 604
- 1,599
Waa na jamii leo naleta mada ambayo ni kero yangu na nina imani wapo wengine.
Ni kuhusu polisi na vyombo vya moto vya raia, gari na pikipiki.
Inapotokea umepata ajali au tatizo mfano umegonga na gari ikalazimika kubaki kituo cha polisi, basi kadri inavyoo kaa pale ninageuzwa skrepa. Ukifata gari baada ya kesi , say 2 weeks unakuta redio hamna, AC imebadilishwa, indicator hazipo yaani mradi vururu, ukiwauliza wanakuwa wakali kama pilipili. Hivi gari ipo kituoni mtu wa nje anawezaje kuiba redio. kuna mtu aliwahi kunibia alikuta gear box mbovu na imelegea haijakaza vizuri. Kwa mwendo huu tutaanza kurogana tuaafande, niwaambie kabisa. umeiba changu nakupa visa unaenda dampo au nakutoa kikojoleo. Na usiseme eti Mungu yupo, yupo ila sio kwa ajili yako we uibe cha mtu afu utegemee Mungu. Shwaini nyie. Natoa mtu nyeti kwa kweli ataamka hazioni usawa huu tuanze kununulishana redio na ac ya gari wakati ngoma imekuna kituoni iko mayai kabisa.
Mtanisamehe ndugu wa wahusika.
Ni kuhusu polisi na vyombo vya moto vya raia, gari na pikipiki.
Inapotokea umepata ajali au tatizo mfano umegonga na gari ikalazimika kubaki kituo cha polisi, basi kadri inavyoo kaa pale ninageuzwa skrepa. Ukifata gari baada ya kesi , say 2 weeks unakuta redio hamna, AC imebadilishwa, indicator hazipo yaani mradi vururu, ukiwauliza wanakuwa wakali kama pilipili. Hivi gari ipo kituoni mtu wa nje anawezaje kuiba redio. kuna mtu aliwahi kunibia alikuta gear box mbovu na imelegea haijakaza vizuri. Kwa mwendo huu tutaanza kurogana tuaafande, niwaambie kabisa. umeiba changu nakupa visa unaenda dampo au nakutoa kikojoleo. Na usiseme eti Mungu yupo, yupo ila sio kwa ajili yako we uibe cha mtu afu utegemee Mungu. Shwaini nyie. Natoa mtu nyeti kwa kweli ataamka hazioni usawa huu tuanze kununulishana redio na ac ya gari wakati ngoma imekuna kituoni iko mayai kabisa.
Mtanisamehe ndugu wa wahusika.