Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau maswali yanazidi kuniumiza kwanini polisi wana kasi kubwa sana za kukamata wabunge wa upinzani na kuwadhalilisha kana kwamba sio viongozi wa kitaifa?kwanini hawapewi heshima zao
hebu angalau matukio ya mwaka 2001 ya CUF, Arusha, Nyamongo na Urambo hivi karibuni
hebu angalau matukio ya mwaka 2001 ya CUF, Arusha, Nyamongo na Urambo hivi karibuni