Polisi na ubambikaji kesi ukweli ulio wazi - usiosemeka

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,226
35,151
Bwana Kangi Lugora amekuwa akijitahidi kushinikiza polisi watende haki. Hata hivyo jitihada na hata dhamira yake inaendelea kuwa ni tone dogo mno katika maji ya bahari.

Hoja kuwa ni polisi wachache tu ndiyo wanachafua wengi walio wema kabisa, ni dhaifu mno na ni wazi sote: yeye, wakuu wake, na hata wao polisi wanajua hivyo.

MARTHA KARUA says CAROLINE MWATHA was killed by police

Angalia kwenye link hii katika hali isiyo na tofauti na kwetu, kwa maneno yake jaji mkuu mstaafu Dr Willy Mutunga (Kenya) katika tukio la mauaji hivi karibuni huko pasipo na kumung'unya maneno alitamka:

“Cops never say the truth,”

“Even if police tell you the truth by accident, don’t believe it,”

“It’s clear the activist was murdered for her stand for the truth.”

Wasema kweli ni wapenzi wa Mungu whereas the contrapositive is also true. Ole wao, wao wenye nafasi za kukemea maovu kama haya na wao wanayafumbia macho, kwa kuwa eti tu leo wao wako upande salama wa shilingi.

Badala ya kujikita na ununuzi wa madege mngejikita kwenye kuhakikisha wananchi wanapata haki zao zote na manunda wote wanawajibishwa mngeacha legacy ya maana inayoishi.

Chuki kubwa inayoendelea kumea inapaliliwa vilivyo na vyombo vya kutenda haki ambavyo kwa maslahi fulani havifanyi hivyo.

------------------------------------
Added:

Kwa hisani ya user - kongobelo:
 
Write your reply...dah hii swala linaumiza sanana katika mambo yanaoninyongonyeza tanzania ni hilo, na ni kama wenye mamlaka hawajali, mi mdogo wangu alikutwa tu duka la mtaan amekaa, wakamkamata wakampa kesi ya kuchexa kamali, kufikishwa kituoni mbezi kwa yusuf akaandikiwa armed robbery, kisa nn tutoe hela, ndio maana kama sehemu Bado kuna uonevu naonaga hiyo nchi haijaendelea
 
Write your reply...dah hii swala linaumiza sanana katika mambo yanaoninyongonyeza tanzania ni hilo, na ni kama wenye mamlaka hawajali, mi mdogo wangu alikutwa tu duka la mtaan amekaa, wakamkamata wakampa kesi ya kuchexa kamali, kufikishwa kituoni mbezi kwa yusuf akaandikiwa armed robbery, kisa nn tutoe hela, ndio maana kama sehemu Bado kuna uonevu naonaga hiyo nchi haijaendelea

Pole mkuu. Ajabu ni kuwa hawa wenye mamlaka huko mahakamani na bungeni wanajifanya hawayaoni haya.
 
Bwana Kangi Lugora amekuwa akijitahidi kushinikiza polisi watende haki. Hata hivyo jitihada na hata dhamira yake inaendelea kuwa ni tone dogo mno katika maji ya bahari.

Hoja kuwa ni polisi wachache tu ndiyo wanachafua wengi walio wema kabisa, ni dhaifu mno na ni wazi sote: yeye, wakuu wake, na hata wao polisi wanajua hivyo.

MARTHA KARUA says CAROLINE MWATHA was killed by police

Angalia kwenye link hii katika hali isiyo na tofauti na kwetu, kwa maneno yake jaji mkuu mstaafu Dr Willy Mutunga (Kenya) katika tukio la mauaji hivi karibuni huko pasipo na kumung'unya maneno alitamka:

“Cops never say the truth,”

“Even if police tell you the truth by accident, don’t believe it,”

“It’s clear the activist was murdered for her stand for the truth.”

Wasema kweli ni wapenzi wa Mungu whereas the contrapositive is also true. Ole wao, wao wenye nafasi za kukemea maovu kama haya na wao wanayafumbia macho, kwa kuwa eti tu leo wao wako upande salama wa shilingi.

Badala ya kujikita na ununuzi wa madege mngejikita kwenye kuhakikisha wananchi wanapata haki zao zote na manunda wote wanawajibishwa mngeacha legacy ya maana inayoishi.

Chuki kubwa inayoendelea kumea inapaliliwa vilivyo na vyombo vya kutenda haki ambavyo kwa maslahi fulani havifanyi hivyo.

------------------------------------
Added:

Kwa hisani ya user - kongobelo:

Kwani viongozi wa Chadema wanaposhitakiwa kwa kumuua kwa risasi yule binti ndani ya daladala ulidhani ni mchezo wa kuigiza!
 
Kwani viongozi wa Chadema wanaposhitakiwa kwa kumuua kwa risasi yule binti ndani ya daladala ulidhani ni mchezo wa kuigiza!

Mkuu sikudhani ni mchezo wa kuigiza. Pia usidhani haya tumeyaona leo. Ila tofauti ni kuwa hata majaji wastaafu kwingine wanauthubutu wa kusema. Kwetu je?

Waungwana wanasema yote yana mwisho. Hilo ndilo neno la faraja ninaamini.
 
Mbowe alipiga Aquilina risasi pale kinondoni..... YAANI TUNAJUA ALIYEPIGA RISASI LAKINI LEO MBOWE KASHTAKIWA YEYE.
 
Mkuu sikudhani ni mchezo wa kuigiza. Pia usidhani haya tumeyaona leo. Ila tofauti ni kuwa hata majaji wastaafu kwingine wanauthubutu wa kusema. Kwetu je?

Waungwana wanasema yote yana mwisho. Hilo ndilo neno la faraja ninaamini.
Mwisho wake ni ile siku utakapo kufa hutayasikia tena wala kuyaona umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha tembea nnchi zote duniani polisi hasifiwi ila analaumiwa tu,Beki hanasifa Wala hachukui barons door mwenyesifa ni straika tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho wake ni ile siku utakapo kufa hutayasikia tena wala kuyaona umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha tembea nnchi zote duniani polisi hasifiwi ila analaumiwa tu,Beki hanasifa Wala hachukui barons door mwenyesifa ni straika tu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Huko kutakuwa kukata tamaa kwa ajabu kabisa.

Ina maana hata hawa walioko kwenye nafasi za kubadili haya wako resigned kiasi hicho?

Nchi zingine hata Rwanda tu polisi wao wanasema kuwa hawapo kwenye level kama hizi za wa kwetu.

Kuwa ba polisi waadilfu inawezekana.
 
Huko kutakuwa kukata tamaa kwa ajabu kabisa.

Ina maana hata hawa walioko kwenye nafasi za kubadili haya wako resigned kiasi hicho?

Nchi zingine hata Rwanda tu polisi wao wanasema kuwa hawapo kwenye level kama hizi za wa kwetu.

Kuwa ba polisi waadilfu inawezekana.
Rushwa imetamalaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom