Polisi na NEC waanza kuhofia barua za Amsterdam & Partners LLP?

We gebwe kweli hivi hao LLP ndio nani hasa humu nchini?? Hii ni nchi huru, mtu anavunja sheria na kujiona yeye ni bora kuliko wagombea wengine, anawatukana, anaanza kampeni mapema halafu mnatutishia barua ya kikampuni cha mabeberu!! hatutishiki, wasitufokee
AKILI NA UWEZO WAKO NDO UMEFIKIA MWISHO WALA TUSIKULAUMU
 
Hao Amsterdam ni sawa na wapiga debe tu, wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe, wanamdanganya Lissu kwamba watamsaidia ashinde as if wao ndio wapiga kura!!! ujinga mtupu, watashangaa sasa hawawajui watanzania wamuulize Mange
WEWE HUJAZUNGUKA HEBU JARIBU KUZUNGUKA TANZANIA HUONE WATU WANACHUKIA HUU UTAWALA, TAMBUA KWAMBA SIKU HAZIFANANI KAMWE JUMATATU YA WIKI HII NI TOFAUTI NA JUMATATU YA WIKI ILIYOISHA.UCHAGUZI WA 2015 NI TOFAUTI NA 2020 AU MNADHANI KILA JOGOO AKIWIKA NI ASUBUHI.
 
Quinine,

Yaani hao amtardam wanaweza kupangia nchi mambo yao?

Nakushangaa sana hao amstardam wana mahusiano gani na Tanzania mpaka watupangie, yaani bavicha akiri zenu ni sifuli tu.
Hao wana mkataba na Lisu na sio mchi ya tanzania. Na hawana uwezo wowote wa kutupangia mabo yetu ila wanaweza kumpangia Lisu kwani ni kibaraka wao.
Hawa wapuuzi wengine tumewachana LIVE na wameshindwa kujibu hoja, wajinga wachache wanaoshikiliwa akili zao ndio hao, na huu mwaka mpuuzi Trump hachomoki.
 
Polisi wakiongozwa na IGP na NEC wafanye kazi zao kwa usawa na haki vinginevyo wakifanya kazi ili wamfurahishe mtu mmoja nawaambia lolote baya litakalo tokea mwaka huu wao ndio watajibu na sio huyo mtu mmoja wanae taka kumfurahisha. Wanasemaga akili za kuambiwa... Kazi kwenu
Hakuna hata baya moja litakalotokea,na kwa taarifa yako Huyu mgombea wenu mnayempigia chepuo aliyekuwa ameolewa ubeligiji lazima aenguliwe,na wala hakutakuwa na vurugu kama udhaniavyo
 
Nimekuwa nikijiuliza kuwa hivi hiki kizazi ndio cha kupeleka nchi mbele

Mtu anaanini kuwa nchi fulani au private fulani inaweza kuitisha nchi huru nyingine?

Yaani mtu ana akli timamu ana post eti barua imetumwa kwa jeshi la polisi, si bora iliyotumwa officially na nchi , yaani mfano Mkono advocate Company iitishie Trinidad and Tobago? Tuwe serious hii ni aina ya akina chief Mangungo wa Msowero kwa aina tofauti

Ni mpumbavu tu ndio atanunua wazo la post hii.
Msitufadhaishe kuwa upinzani umesheheni Malimbukeni wakati kuna wasomi wazuri au kuna wasomi wa makaratasi wamegoma kutumia akili zao zote
Shida yenu hamsomi mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama,pia kama ulikimbia somo la historia advance basi mambo kama haya huwezi kuyajua ,nchi huru zimewahi kuambiwa walipe fidia kwa hasara ya vita wakagoma vita ikaanza upya
 
Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa barua kutoka kampuni binafsi ya Amsterdam & Partners LLP, walioingia mkataba na mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu kumsaidia masuala yake ya kisheria, kiusalama na ulinzi wa haki zake.

Moja ya sehemu ya barua yao waliyoliandikia Jeshi la polisi inasema,

"By this letter, we notify you (Tanzania Police) our intention to hold accountable all public servant of the government of Tanzania individually... " Robert Amsterdam.

Vile vile waliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa,

“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.

Jana Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amewataka makamanda wa jeshi hilo kuja na majibu ya nguvu kwa mikoa iliyo anza kufanya vurugu kwenye misafara ya wanasiasa ikiwemo kurusha mawe na wale waliohusika kuchoma ofisi za vyama vya siasa.

"...mtu yeyote wa ovyo ovyo atakaejihusisha na uchomaji wa ofisi au kujihusisha na vurugu tutamshughulikia vizuri" IGP Sirro.

Je, hizi zinaweza kuwa dalili kwa jeshi la polisi kuanza kubadilika au ni kwa sababu ya vitisho vya barua za Robert Amsterdam?
“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.

Hiki kipengele kitaibana tume kutaka kumuengua mtu siku ya tarehe 25-08-2020 kwa shinikizo la wasiojulikana, ili kutaka kumfurahisha yule mwenye kujulikana.
 
Shida yenu hamsomi mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama,pia kama ulikimbia somo la historia advance basi mambo kama haya huwezi kuyajua ,nchi huru zimewahi kuambiwa walipe fidia kwa hasara ya vita wakagoma vita ikaanza upya
Advance History uliyosoma imekuandaa sana kiakili kuwa mtumwa wa Mataifa makubwa.
Hupishani na chief mangungo, tofauti wewe unajua kusoma na kuandika
 
Baada ya barua hizo Siro kapiga uturn vitidho vyake kwa Lissu na raia ,kawageukia makamanda was polisi mikoa zilikounguzwa ofisi za Chadema kuvamiwa msafara anawaambia watoe maelezo ya nguvu , watatapika ndoano mwaka huu.
Screenshot_20200820-190548.png
 
WEWE HUJAZUNGUKA HEBU JARIBU KUZUNGUKA TANZANIA HUONE WATU WANACHUKIA HUU UTAWALA, TAMBUA KWAMBA SIKU HAZIFANANI KAMWE JUMATATU YA WIKI HII NI TOFAUTI NA JUMATATU YA WIKI ILIYOISHA.UCHAGUZI WA 2015 NI TOFAUTI NA 2020 AU MNADHANI KILA JOGOO AKIWIKA NI ASUBUHI.
Haijawahi kutokea na haitakaa itokee zaidi ya 2015 mlivyokua mnajaza watu na kukubalika na mkaangukia pua ndio iwe mwaka huu mnasafiria nyota ya jina moja tu la Lissu wala sio chama chenu cha machadema mtashangaa
 
Mnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Wanafikiri Tanzania ni Sacos. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Shida yenu hamsomi mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania ni mwanachama,pia kama ulikimbia somo la historia advance basi mambo kama haya huwezi kuyajua ,nchi huru zimewahi kuambiwa walipe fidia kwa hasara ya vita wakagoma vita ikaanza upya
Huyo Robert Armstadam ana mkataba gani ambao ameingia na nchi yetu?? unadhani sote hatuijui mikataba ya kimataifa? na kwanza hata nchi ikiamua kujitoa inajitoa tu, hao Marekani wamejitoa mikataba mingi tu na haiwi chochote mfano mkata wa Kyoto kupunguza uharibifu wa mazingira Marekani kagoma na haiwi chochote, maswala ya haki za akina mama uwiano sawa wa ajira kapinga na haiwi chochote sasa iwe huyu ki.m.a mweupe mmoja ndio atupangie cha kufanya humu nchini!!! Hell no!! Lissu akikiuka sheria na kanuni za uchaguzi atakatwa halafu tuone sasa atafanyaje huyo beberu wenu
 
Watanzania tunailinda amani yetu kuliko kitu kingine hao wabelgiji waambieni wapambane na COVID 19. Tanzania ni kwa watanzania wenyewe.




MAGUFULI4LIFE.
 
Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa barua kutoka kampuni binafsi ya Amsterdam & Partners LLP, walioingia mkataba na mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu kumsaidia masuala yake ya kisheria, kiusalama na ulinzi wa haki zake.

Moja ya sehemu ya barua yao waliyoliandikia Jeshi la polisi inasema,

"By this letter, we notify you (Tanzania Police) our intention to hold accountable all public servant of the government of Tanzania individually... " Robert Amsterdam.

Vile vile waliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa,

“It is our intent to hold the members of the NEC personally accountable”, Robert Amsterdam.

Jana Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amewataka makamanda wa jeshi hilo kuja na majibu ya nguvu kwa mikoa iliyo anza kufanya vurugu kwenye misafara ya wanasiasa ikiwemo kurusha mawe na wale waliohusika kuchoma ofisi za vyama vya siasa.

"...mtu yeyote wa ovyo ovyo atakaejihusisha na uchomaji wa ofisi au kujihusisha na vurugu tutamshughulikia vizuri" IGP Sirro.

Je, hizi zinaweza kuwa dalili kwa jeshi la polisi kuanza kubadilika au ni kwa sababu ya vitisho vya barua za Robert Amsterdam?

Kama hii serikali haikuogopa kwa namna yeyote Barrick Gold President ( ACACIA ) sijui kama kuna mtu watamuogopa. Na kinyume ya hii ni kujidanganya.
 
Mnachekesha, sisi ni nchi huru, tunajiamlia mambo yetu. Wazungu wajanja hapo hiyo gharama imeahidiwa kulipwa kwa mikataba minono ya upendeleo atakayo itoa lisu pindi akiwa rais (kitu ambacho hawezi kuwa rais maana watamuua akishindwa urais).
Toka lini masikini akawa huru
 
Majibu ya uhakika yatapatikana siku ya matokeo ya uchaguzi mkuu, kwa ngazi zote za Urais, Ubunge, na Udiwani, ila kwa dalili hizi naona atleast polisi wame respond positively.

Polisisiem huwa hawatabiriki kwasababu wanachofanya kinategemea zaidi aliyemteua IGP kaamkaje!
 
Haijawahi kutokea na haitakaa itokee zaidi ya 2015 mlivyokua mnajaza watu na kukubalika na mkaangukia pua ndio iwe mwaka huu mnasafiria nyota ya jina moja tu la Lissu wala sio chama chenu cha machadema mtashangaa
2015 mliiba kura
 
Back
Top Bottom