kalemauji
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 1,440
- 1,397
AKILI NA UWEZO WAKO NDO UMEFIKIA MWISHO WALA TUSIKULAUMUWe gebwe kweli hivi hao LLP ndio nani hasa humu nchini?? Hii ni nchi huru, mtu anavunja sheria na kujiona yeye ni bora kuliko wagombea wengine, anawatukana, anaanza kampeni mapema halafu mnatutishia barua ya kikampuni cha mabeberu!! hatutishiki, wasitufokee