Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,633
- 1,916
Polisi Jijini wazidi kuwasomba makahaba
2008-07-21 19:15:44
Na Moshi Lusonzo, Polisi Kati
Wanawake 21 na wanaume watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Mkoa wa Ilala kwa tuhuma za kufumwa usiku wakidaiwa kufanya biashara ya ukahaba.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Faustine Shilogire amesema wanawake hao na wanaume hao walikamatwa jana mishale ya saa 2:00 usiku katika baa za Kimboka, Asemwe na Sehewa silizopo Ilala.
Akasema wanawake hao walikamatwa wakiwa katika maeneo hayo wakituhumiwa kufanya biashara ya uchangudoa wakati wanaume hao wanatuhumiwa kuwa wateja.
Amesema watu hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.
Hivi hawa manjagu wa Kibongo wanaelewa kuwa ukahaba ni deal kwa wenzetu waliokwisha ona mbele? Wanalipa kodi na the game is authorised.
Hapa bongo badala ya kuhangaika na ujambazi wanahangaika na kina dada poa. Wanatumia magari, pikipiki ,mishahara etc kupamabana na wanaouza na kununua ngono. Can,t they set priorities?
2008-07-21 19:15:44
Na Moshi Lusonzo, Polisi Kati
Wanawake 21 na wanaume watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Mkoa wa Ilala kwa tuhuma za kufumwa usiku wakidaiwa kufanya biashara ya ukahaba.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Faustine Shilogire amesema wanawake hao na wanaume hao walikamatwa jana mishale ya saa 2:00 usiku katika baa za Kimboka, Asemwe na Sehewa silizopo Ilala.
Akasema wanawake hao walikamatwa wakiwa katika maeneo hayo wakituhumiwa kufanya biashara ya uchangudoa wakati wanaume hao wanatuhumiwa kuwa wateja.
Amesema watu hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.
Hivi hawa manjagu wa Kibongo wanaelewa kuwa ukahaba ni deal kwa wenzetu waliokwisha ona mbele? Wanalipa kodi na the game is authorised.
Hapa bongo badala ya kuhangaika na ujambazi wanahangaika na kina dada poa. Wanatumia magari, pikipiki ,mishahara etc kupamabana na wanaouza na kununua ngono. Can,t they set priorities?