Bila shaka Watanzania wote wanafuatilia suala la mwanafunzi Ramadhani Kondo ambaye inasemekana alitekwa lakini jeshi la polisi wamekanusha kwamba hakutekwa bali alijiteka mwenyewe. Tumesikia kauli za dharau toka kwa Mwigula NCHEMBA pamoja na RPCs walivyojichanganya kwenye maelezo yao . Kuna kitu kinaitwa Aid and Abeting katika masuala ya sheria . Hii inamhusu hasa mpenzi wake RAMADHANI Kondo , Jee kwa nini polisi haKumhoji huyo mpenzi wake kwa kumficha Ramadhani KONDO .Au hawakuona umuhimu wake . Police acheni drama zenu , msitumike katika mchezo mchafu wa kisiasa