Polisi Mwanza wazingira njia ya kuelekea hospitali ya Bugando

Ramso5

Member
Dec 13, 2011
63
8
Katika hali ya kushangaza leo siku ya Jumapili, askari polisi jijini Mwanza wametanda kila mahali na hasa njia kuu ya kuelekea bugando, nimeshuhudia doria isiyokuwa ya kawaida ya magari na askari waliovaa sare na kiraia, wengine wamepaki njia kuu kuelekea Bugando jambo ambalo si kawaida kwa siku za Jumapili, wananchi wanajiuliza kwa nini kuna ulinzi mkali kiasi hicho?
 
Jeshi la Police linahitaji kufumuliwa kabisa na kuundwa upya.Maana wanaweka nguvu kubwa kudhibiti wenye amani na utulivu huku majambazi na waovu mbalimbali wakipeta na kutanua.Najiuliza wanamtumikia nani na kwa faida gani?..Nini chanzo cha hofu yao?..Waliomuua Alphonce Mawazo na wanaotaka kumuaga na kumpumzisha kwa amani ni nani anayepaswa kupewa ulinzi!!..Hizi figisufigisu,makandokando,urapurapu na ufinyufinyu wa mawazo wa Watendaji wa Mtumbuamajipu.
 
Does Magufuli and his only minister know this.If they know they must have a hand on this and that is a very poor starting for TZ peoples welfare.
 
Intimidation of the majority never works Magufuli will end up in misery poor him h doesn't think
 
Katika hali ya kushangaza leo siku ya jumapili,askali polisi jijini Mwanza wametanda kila mahali na hasa njia kuu ya kuelekea bugando,nimeshuhudia doria isiyokuwa ya kawaida ya magari na askari waliovaa sare na kiraia,wengine wamepaki njia kuu kuelekea Bugando jambo ambalo si kawaida kwa siku za jumapili,wananchi wanajiuliza kwap nini kuna ulinzi mkali kiasi hicho?

Wacha hizo. Wananchi wanajua fika sababu ya ulinzi huo. Labda wewe
 
Katika hali ya kushangaza leo siku ya jumapili,askali polisi jijini Mwanza wametanda kila mahali na hasa njia kuu ya kuelekea bugando,nimeshuhudia doria isiyokuwa ya kawaida ya magari na askari waliovaa sare na kiraia,wengine wamepaki njia kuu kuelekea Bugando jambo ambalo si kawaida kwa siku za jumapili,wananchi wanajiuliza kwa nini kuna ulinzi mkali kiasi hicho?
Safi sana, wawazuie tu, wajiufunze uchaguzi ulishapita, sasa ni kazi tu.
 
Jeshi la polisi lisipokuwa makini litamaliza mafungo yake mapema sana na sidhani kama Raisi atawaelewa kwamba pesa zimeishia kwenye kuwathibiti UKAWA wasijitangaze kisiasa
 
Kamanda Mawazo aliuawa kisiasa,akiwa kwenye siasa na atazikwa kisiasa.Polisi walinde Raia waache siasa ichukue nafasi yake.Waache Ulofa
 
Magufuli anajaribu kuwabana wapinzani kwa namna yyt ile wasifurukute, hii ni aina fulani ya udikteta km ule wa kina Museveni na Kagame!
 
Back
Top Bottom