GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
POLISI Mwanza Wapiga STOP Mkutano wa Hadhara wa CHAGULANI:
Kuna kila dalili za wazi kuwa zile kambi mbili ambazo zimekuwa zikitajwa kuitafuna CDM katika Mkoa wa Mwanza zinaendelea kuimarika hasa baada ya maamuzi ya kuondosha mapandikizi kulikofanywa na kamti kuu.
GR anaendelea kusaka kiini cha kambi hizi na athari zake katika majaaliw ya CDM mwanza (tutakutana katika thread nyingine juu ya hili)
Hadhari kubwa na mashaka yanaelekezwa kwa Viongozi wa CDM ambao mara kadhaa wameshutumiwa hapa jamvini kwa kuendekeza makundi na kuonyesha dhahiri ulafi wa madaraka ambao umeendelea kuwa kansa inayoutafuna umahiri na kasi ya CDM katika baadhi ya maeneo Nchini ambayo mtandao wao unaonekana kushamiri huku Mwanza ikiwa moja ya vitovu vya uasi huu.
Mdi haya ambayo yamekiwa yakipuuzwa au hata kupewa majibu mepesi wakti mwingine sasa ni wazi kuwa hatua za madhubuti zinahitajika kama ninavyojidhihiri kwenye my take hapo chini.
Hapa tunaguswa na uamuzi huu wa siku chache Baada ya kuenguliwa uanachama wa CDM kwa madai ya kukiuka kanuni na miongozo ya Chama, Chagulani Ibrahim Adam pamoja na Henry Matata walipanga kufanya mkutano wa hadhara jijini Mwanza kuelezea mustakbal wao baada ya uamuzi wa kamati kuu ya CDM.
Chanzo cha GR kutoka Jeshi la Polisi Mwanza(Jina linahifadhiwa) kililazimika kusitisha mkutano huo kutokana na kuwepo na tetesi za kugawanyika kwa makundi ya wafuasi wa CDM huku kundi jingine linalomuunga mkono Mmoja wa Viongozi wa Chama hicho (jina linahifadhiwa hadi kukamilika kwa uchunguzi wa madai haya) anayedaiwa kuwa na bifu la muda mrefu na kambi inayomuunga mkono Chagulani.
Katika hatua nyingine inasemekana kuwa wanasiasa hao waliopokwa uanachama watakutana leo na mwanasheria wao kujipanga kufungua madai ambayo GR na wanyetishaje wake huko mza hawajayabaini ila harakati zikifanikiwa tutakutana nayo hapa jamvini.
My Take
<font size="3">
ADIOS
- Hofu ya makundi yatanda CDM
- Kambi za wanasiasa wenye uchu na mapandikizi Kukitafuna Chama
Kuna kila dalili za wazi kuwa zile kambi mbili ambazo zimekuwa zikitajwa kuitafuna CDM katika Mkoa wa Mwanza zinaendelea kuimarika hasa baada ya maamuzi ya kuondosha mapandikizi kulikofanywa na kamti kuu.
GR anaendelea kusaka kiini cha kambi hizi na athari zake katika majaaliw ya CDM mwanza (tutakutana katika thread nyingine juu ya hili)
Hadhari kubwa na mashaka yanaelekezwa kwa Viongozi wa CDM ambao mara kadhaa wameshutumiwa hapa jamvini kwa kuendekeza makundi na kuonyesha dhahiri ulafi wa madaraka ambao umeendelea kuwa kansa inayoutafuna umahiri na kasi ya CDM katika baadhi ya maeneo Nchini ambayo mtandao wao unaonekana kushamiri huku Mwanza ikiwa moja ya vitovu vya uasi huu.
Mdi haya ambayo yamekiwa yakipuuzwa au hata kupewa majibu mepesi wakti mwingine sasa ni wazi kuwa hatua za madhubuti zinahitajika kama ninavyojidhihiri kwenye my take hapo chini.
Hapa tunaguswa na uamuzi huu wa siku chache Baada ya kuenguliwa uanachama wa CDM kwa madai ya kukiuka kanuni na miongozo ya Chama, Chagulani Ibrahim Adam pamoja na Henry Matata walipanga kufanya mkutano wa hadhara jijini Mwanza kuelezea mustakbal wao baada ya uamuzi wa kamati kuu ya CDM.
Chanzo cha GR kutoka Jeshi la Polisi Mwanza(Jina linahifadhiwa) kililazimika kusitisha mkutano huo kutokana na kuwepo na tetesi za kugawanyika kwa makundi ya wafuasi wa CDM huku kundi jingine linalomuunga mkono Mmoja wa Viongozi wa Chama hicho (jina linahifadhiwa hadi kukamilika kwa uchunguzi wa madai haya) anayedaiwa kuwa na bifu la muda mrefu na kambi inayomuunga mkono Chagulani.
Katika hatua nyingine inasemekana kuwa wanasiasa hao waliopokwa uanachama watakutana leo na mwanasheria wao kujipanga kufungua madai ambayo GR na wanyetishaje wake huko mza hawajayabaini ila harakati zikifanikiwa tutakutana nayo hapa jamvini.
My Take
- CDM msiridhike na maamuzi ya kamati kuu fuatilieni matokeo baada ya maamuzi haya kuepusha dalili za makundi katika chama kama ambayo yanawatafuna nyinyiemi kwa sasa.
- Chagulani sijui kama uamuzi huu ulikuwa wa busara kwa sasa?
<font size="3">
ADIOS
Last edited by a moderator: