Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Imetimia miezi saba sasa mnalinda huyu mwanajeshi na migambo ambao walimpiga mtuhumiwa ndani ya ofisi ya kata ya Kahama wilaya ya Ilemela na baadae alifariki. Watuhumiwa walikuwa wanne waliopigwa ila mmoja alifariki.
Mkuu wa mkoa alimsaidia mke wa marehemu na ukweli umeshapatikana. Mmeshachukua maelezo ya mashahidi zaidi ya wanne. Kwanini hamuwakamati watuhumiwa?
Mbona watu wengine wakifanya makosa wanakamatwa hii ni nchi inayofuata misingi ya sheria. Kama yeye na migambo walichukulia sheria mkononi kwa nini hamuwakamati?
Polisi Kirumba mlidanganya kuwa marehemu alipigwa na wananchi wakati sio kweli. Mkuu wa mkoa amemsaidia mke wa marehemu na mmeshapata maelezo ya ukweli kwa waliona tukio. Kwanini hamchukui hatua? JPM yupo Chato ngoja mke wa marehemu amfuate huko ndio mchukue hatua.
Mbaya zaidi hata milango ambayo mtendaji wa kata alidai marehemu aliiba kumbe ililosa watu walioiba na ameichukua yeye. Na hata Tv aliyodai kuwa huyo mwanajeshi kaibiwa wala haikupatikana ila mlipiga aseme asichokijua.
Hakuna cha habari za Andha Kanoon wala nini Ukweli umeshajulikana na mke wa marehemu lazima apate haki yake.
Mkuu wa mkoa alimsaidia mke wa marehemu na ukweli umeshapatikana. Mmeshachukua maelezo ya mashahidi zaidi ya wanne. Kwanini hamuwakamati watuhumiwa?
Mbona watu wengine wakifanya makosa wanakamatwa hii ni nchi inayofuata misingi ya sheria. Kama yeye na migambo walichukulia sheria mkononi kwa nini hamuwakamati?
Polisi Kirumba mlidanganya kuwa marehemu alipigwa na wananchi wakati sio kweli. Mkuu wa mkoa amemsaidia mke wa marehemu na mmeshapata maelezo ya ukweli kwa waliona tukio. Kwanini hamchukui hatua? JPM yupo Chato ngoja mke wa marehemu amfuate huko ndio mchukue hatua.
Mbaya zaidi hata milango ambayo mtendaji wa kata alidai marehemu aliiba kumbe ililosa watu walioiba na ameichukua yeye. Na hata Tv aliyodai kuwa huyo mwanajeshi kaibiwa wala haikupatikana ila mlipiga aseme asichokijua.
Hakuna cha habari za Andha Kanoon wala nini Ukweli umeshajulikana na mke wa marehemu lazima apate haki yake.