Ukweli umekuuma,kula mihogo yako ulale maana wewe ndo inakulewesha mpaka unaona wote tumelewa ndo tatizo unatuona wote tatizo,I pity youacha jazba inakuponza sana coz inatupa picha ya what kind of a person you are maana unarudia yaleyale,nimesema wapi kula mihogo dhambi? Wewe ndo unakuja empty kichwa kichwa halafu unanilisha maneno khaaaaaa uchunguzi wa awlai doesn't mean final investigation sasa umebisha nini it means bado kuna more details,unapenda tu ubishi na kujitia ujuaji,bwana judge hahahahahaakwani kula mihogo dhambi!!!dhambi ni nini unafanya baada ya kushiba,so uwe unalia hamu au huna budi,kama ukishiba unalewa hilo ndio tatizo.
umeshaambiwa uchunguzi wa awali unaonyesha hamza alikuwa na viashiria vya ugaidi,kwa matendo na aina ya mtindo wa maisha aliokuwa nao hasa kupitia simu yake.
umeshiba mihogo tena unakuja,kichwa kichwa hapa.