Polisi msilete ubaguzi na uchonganishi, "Gaidi mfia dini" ndio nani?

Mtu yeyote anaye ijua dini vizuri na anaye fuata mafundisho ya dini yake kikamilifu iwe dini ya kiislamu au ukristo kamwe hawezi kuthubutu kuuuwa watu hata kama ikiwa amedhulumiwa au hajadhulumiwa kamwe hawezi kufikia hatua ya kuuwa.
Gaidi Hamza alitekeleza unyama huo kwa tamaa zake za kimaisha ni msukumo wake mwenyewe amabo umeambatana na mwenendo wake wa Kigaidi.
Gaidi Hamza alijiandaa kwenda kufanya unyama na kujitoa muhanga kwa malengo ambayo anayajua zaidi yeye na mtandao wake wa kigaidi.
 
Wakristo imekuwa ni kawaida yao kukashifu dini ya kiislamu kila inapotokea tukio la kihalifu limefanywa na muislam basi tukio hilo (lake binafsi) kufunganishwa na dini yake tofauti na watu wa imani nyingine wao matukio yao huonekana ni yao binafsi, tunasema huu ni ushenzi na vyema wakaacha huu ujinga wao.
Nawe ni mmoja wao, unarudia yaleyale ya ku-generalize. Si sahihi kusema Waislamu vile au Wakristo hivi, kila individual ahukumiwe au asemwe kwa matendo yake unless kama kitu kimefanya na institution au kundi flani.
 
Nawe ni mmoja wao, unarudia yaleyale ya ku-generalize. Si sahihi kusema Waislamu vile au Wakristo hivi, kila individual ahukumiwe au asemwe kwa matendo yake unless kama kitu kimefanya na institution au kundi flani.
Kwani uongo,wenzetu ubaguzi umewazidi mnatamani hata ifike siku mtangaze Tanzania ni nchi ya Kikristo.
 
Mimi wakati namuangalia anavo toa maelezo nikawa naona aibu Mimi! Kuna watu wanashangaza sana
 
Nawe ni mmoja wao, unarudia yaleyale ya ku-generalize. Si sahihi kusema Waislamu vile au Wakristo hivi, kila individual ahukumiwe au asemwe kwa matendo yake unless kama kitu kimefanya na institution au kundi flani.
Je kama huyo 'individual' amefata mafundisho ya Dini take?
 
Hii ni Fitna inapikwa na ikichochewa kuni na hao wenyewe wanataka kuitia hii nchi tafran, hatujui lipi litakuja kesho na mtondogooo.
 
Unafikiri hajui anchokisema anajua vizuri sana lkn anapima kipimo joto anataka kujua waislamu watasemaje watamlaumu au watakaa kimyaa.Udini Tz upoo lkn mpk sana under ground na ukitaka kujua hilo angalia mfumo wenyewe wa serikali utapata picha kamili.
 
Usikariri kila mtu anaponea mihogo kama wewe huko,mihogo tunakula kama appetizer siyo shine kama wewe
ndio maana tunawaambia baada ya kushiba mihogo kachumbali,kafanyeni kazi.

taarifa nyingine zimefichwa maana upelelezi bado unaendelea,zipo video,chats,na voice note ambazo zimekutwa katika simu.

hawa watu mnaosema hamuwaamini tena,haimaanishi wameacha kufanya kazi,au kila kazi wanaifanya kipuuzi.kazi nyingine hazihitaji ubabaishaji.hasa wanapokufa wao hawajawahi kutegea.
Wapi nimesema kuna watu siwaamini au hawafanyi kazi au wanafanya kazi kipuuzi,usikurupuke kwa jazba second mihogo tunakula tukiwa na hamu nayo hatuponei mihogo kama shibe kama ilivyo kwako na kama uchunguzi unaendelea wasingetoa final Statement,wangesema the investigation is still on kama ambavyo hua wanasema Katika other serious issues,take a chill pill
 
Kwani uongo,wenzetu ubaguzi umewazidi mnatamani hata ifike siku mtangaze Tanzania ni nchi ya Kikristo.
Nimekuingiza rasmi kwenye kundi, nawe ni gaidi mfia dini.
Kama umefikia kuni-judge, you gotta be judged as well.
 
Kabla hata ya ripoti ya polisi, kwa uchunguzi wangu mdogo nilipo ambiwa Hamza anamiliki Migodi halafu baadae nikaiona hiyo inayo itwa migodi yake nilichoka kabisa!!
sio migodi ile bali ni machimbo au matuta ya viazi!! alikuwa anabangaiza tu, hayo machimbo yalikuwa hayana uwezo wa kutoa dhahabu hata ya milioni 3, mnasema 400mln?! nendeni kwenye hayo machimbo mkaangalie hamna cha maana zaidi ya kubangaiza yaani bora hata anaye piga boda anapata kipato kuliko hayo machimbo.
vyovyote vile itakavyo kuwa Hamza hakuwa na uhalali wowote ule wa kuuwa askari 4 na kuwajeruhi kadhaa.
Tatizo lako u r full of hate and double standards,sijui na wewe member katika familia za polisi ndo maana,he was not right kama ambavyo wao hawakua right kumfanyia dhulma katika walichomfanyia mpaka akafanya alichokifanya,wote wako wrong na kama alikua gaidi kweli niliuliza humu na bado watu walio upande kama wako hawajajibu mbona hakuua watu wote waliokua eneo Lile,Polisi tu,facts over opinions and judgements,mnabaki tu hakua na madini wala nini then why did he attack the policemen only??
 
Usikariri kila mtu anaponea mihogo kama wewe huko,mihogo tunakula kama appetizer siyo shine kama wewe

Wapi nimesema kuna watu siwaamini au hawafanyi kazi au wanafanya kazi kipuuzi,usikurupuke kwa jazba second mihogo tunakula tukiwa na hamu nayo hatuponei mihogo kama shibe kama ilivyo kwako na kama uchunguzi unaendelea wasingetoa final Statement,wangesema the investigation is still on kama ambavyo hua wanasema Katika other serious issues,take a chill pill
kwani kula mihogo dhambi!!!dhambi ni nini unafanya baada ya kushiba,so uwe unalia hamu au huna budi,kama ukishiba unalewa hilo ndio tatizo.

umeshaambiwa uchunguzi wa awali unaonyesha hamza alikuwa na viashiria vya ugaidi,kwa matendo na aina ya mtindo wa maisha aliokuwa nao hasa kupitia simu yake.

umeshiba mihogo tena unakuja,kichwa kichwa hapa.
 
Je kama huyo 'individual' amefata mafundisho ya Dini take?
Mafundisho ya dini? Ipi? Stop throwing shades ukidhani hatutaelewa,Kuna dini inafundisha uovu au ndo chuki zinakupeleka mbio?
too much hate and negativity
 
Tatizo lako u r full of hate and double standards,sijui na wewe member katika familia za polisi ndo maana,he was not right kama ambavyo wao hawakua right kumfanyia dhulma katika walichomfanyia mpaka akafanya alichokifanya,wote wako wrong na kama alikua gaidi kweli niliuliza humu na bado watu walio upande kama wako hawajajibu mbona hakuua watu wote waliokua eneo Lile,Polisi tu,facts over opinions and judgements,mnabaki tu hakua na madini wala nini then why did he attack the policemen only??
nyinyi tukiwaita mbuzi,kaeni chini mjiulize mnakosea wapi!!!

hamza kaporwa dhahabu na nani???aliyeshuhudia tukio alikuwa kasimama wapi??kibandani kwa askari au mfukoni kwa hamza,maama dhahabu sio gunia la mihogo kwamba kila mwenye macho analiona.
 
Mafundisho ya dini? Ipi? Stop throwing shades ukidhani hatutaelewa,Kuna dini inafundisha uovu au ndo chuki zinakupeleka mbio?
too much hate and negativity
kwani unaishi dunia ipi!!!
 
Back
Top Bottom