Mtu yeyote anaye ijua dini vizuri na anaye fuata mafundisho ya dini yake kikamilifu iwe dini ya kiislamu au ukristo kamwe hawezi kuthubutu kuuuwa watu hata kama ikiwa amedhulumiwa au hajadhulumiwa kamwe hawezi kufikia hatua ya kuuwa.
Gaidi Hamza alitekeleza unyama huo kwa tamaa zake za kimaisha ni msukumo wake mwenyewe amabo umeambatana na mwenendo wake wa Kigaidi.
Gaidi Hamza alijiandaa kwenda kufanya unyama na kujitoa muhanga kwa malengo ambayo anayajua zaidi yeye na mtandao wake wa kigaidi.
Gaidi Hamza alitekeleza unyama huo kwa tamaa zake za kimaisha ni msukumo wake mwenyewe amabo umeambatana na mwenendo wake wa Kigaidi.
Gaidi Hamza alijiandaa kwenda kufanya unyama na kujitoa muhanga kwa malengo ambayo anayajua zaidi yeye na mtandao wake wa kigaidi.