Au anataka kuwashauri tcra kuzima mitandao mazimaTena anashupaza shingo kabisa eti kajifunzia kwenye mtandao Loh , Jeshi hili aibu sana
Au anataka kuwashauri tcra kuzima mitandao mazimaTena anashupaza shingo kabisa eti kajifunzia kwenye mtandao Loh , Jeshi hili aibu sana
Hii kitu UGAIDI serikali ya Ccm na polisi wa Ccm wana ichukulia ni jambo rahisi sana. Lakini hili neno Gaidi ni baya sana. Sijui wana taka kuipeleka wapi Tz. Neno Gaidi sio sifa.Hakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?
Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
We mjinga sana mwendazake anahusika nini hapo?Hiyo ndio aina ya viongozi tuliojaaliwa na mwendazake, roho ya marehemu iwekwe panapostahili, roho ya marehemu Hamza ipate Rehema kwa Mungu ipumzike kwa Amani Amina.
kwani kuna mtu amebisha?Dini ziko nyingi bwashee!
Wamesema mfia dini hawajataja diniBora angesema ni mccm mfia chama..
Kuliko kuhusianisha dini ya mwenyezi Mungu na ugaidi.
Kwa hili nasimama na uislamu
Akajifunza mtandaoni hadi kuitumia bastola , akaendelea kutumia google hadi akafanikiwa kuua askari wawili kachukua Ak 47 akaingia tena google akajifunza kulenga kukoki kulala chini kutambaa, aisee haya DCI una akilio sana we mtuNmeshindwa kuelewa uchunguzi wa polisi,"Hamza amejifunza ugaidi mtandaoni"
Then? Bado tumebaki na maswali mengi ambayo hayajajibiwa na huu uchunguzi
1.Nani yupo nyuma ya hamza "mdhamini"?
2. Kwann aue polisi tu?
3.Wapi alipojifunza,nchi au eneo,washirika wake ni kina nani?
4.Kusema amejifunza mtandaoni,kwenye site zp? Alidukuliwa before or after kupitia anachofanya akiwa mtandaoni au ni guessing tu?
Maswali ni mengi...
Maana mnaanza chokochoko!kwani kuna mtu amebisha?
imefika hatua mama enu anafanya kazi za tour guide 🤣Maana mnaanza chokochoko!
Ndio alikuwa gaidi mfiadini ile dini ya haki,huko Nigeria, Somalia, Syria, Mozambique n.k ni wao tu wanapigania dini ya haki kwa kuuwa wengine wanaita jihadHakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?
Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
Kwa uelewa wangu ametajwa Hamza kuwa ni gaidi mfia dini, haijasemwa kwamba waislam ni magaidi wafia dini, hapo ametajwa MTU Individual ! Sasa hapo kuna tatizo gani ? Acheni uchonganishi Bandugu !!!Hayo ndiyo matunda ya Polisi kuachiwa wajichunguze wao wenyewe kwenye tuhuma ambazo kuna tetesi ya wao kuhusika.
Kila siku huwa nasema hapa kuwa Tanzania haina Rais bali ina 'rahisi' lakini watu wanaziba pamba kwenye masikio yao.
Tanzania ingekuwa ina Rais angeunda tume huru kuchunguza tuhuma hizi lakini kwa sababu haina Rais basi zigo limetupiwa kwenye dini bila ya kujali athari zake.
hizo albadir whatever it is.. zingekuwa zinafanya kazi nadhan wangeshabadilika tabia.Dahwa yao inachemka hawaoni mwenzao Ndugway kashaanza kubwabwaja , Haalbadir sio kitu cha mhezo , Inalillayih wa inayilaahiy Rajiuun Sirro+Wambura
extrimistsio gaidi, DCI amesisitiza "Gaidi mfia dini"
Kuna wale wanasema magaidi wote Ni waislam Ila waislam wote siyo magaidi.Hakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?
Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
Yani bado ametuacha na maswali kibaoAkajifunza mtandaoni hadi kuitumia bastola , akaendelea kutumia google hadi akafanikiwa kuua askari wawili kachukua Ak 47 akaingia tena google akajifunza kulenga kukoki kulala chini kutambaa, aisee haya DCI una akilio sana we mtu
Shida yangu kama nilivyoitaja hapo kwenye comment yangu ni kwamba kwa kuwa Polisi walihisiwa na wananchi katika kuhusika kwenye sakata la bwana Hamza ilipaswa iundwe tume huru ya kuchunguza tukio hili na wala siyo polisi kujichunguza wenyewe.Kwa uelewa wangu ametajwa Hamza kuwa ni gaidi mfia dini, haijasemwa kwamba waislam ni magaidi wafia dini, hapo ametajwa MTU Individual ! Sasa hapo kuna tatizo gani ? Acheni uchonganishi Bandugu !!!