Labda BAKWATA ya UlayaNi matumaini yangu kusikia kauli kutoka BAKWATA
This was expectedHakika katika kitu kitakachowakwaza waislam ni hili la polisi kumuita Marehemu kua Gaidi mfia dini, hili litaibua mjadala mkubwa sana wa kitaifa, minong'ono imeshaanza chini chini mitaani kila ukipita.Polisi ninyi hii ni chuki dhidi ya imani za watu au nini? Nini hii mnaifanya sasa?
Nashindwa kuelewa, ni kwa vile viongozi wa juu wa polisi ni wakristo au kitu gani? Mnashindwa kuelewa kua dini ya kiislam ina mamilioni ya wafuasi humu nchini? Kwanini mnalikuza jambo hili kiasi hiki?
sio gaidi, DCI amesisitiza "Gaidi mfia dini"Hakuna muislamu atakaekwazika, Hamza alikua gaidi hilo liko wazi.
Kivipi na wewe, tafuta kazi ya kufanya kijanaSema hii Nchi Haina utawala IGP alitakiwa kuwa chini ya ulinzi Kama sabaya sasahivi na UIGP wake ungekuwa umeshafika mwisho.
Ila kwa vile tuna Galasa ikulu hakuna jipya
Tena anashupaza shingo kabisa eti kajifunzia kwenye mtandao Loh , Jeshi hili aibu sanaDCI angekaa kimya tu maana anaweza kuwaalika wafia dini kutoka huko waliko
Dini ziko nyingi bwashee!sio gaidi, DCI amesisitiza "Gaidi mfia dini"
Kiboko wa Polisiccm ni Hamza!Wewe ndo unachuki na police, Kama vipi jiingize kwenye ugaidi na wewe uone moto wake!