Polisi msilete ubaguzi na uchonganishi, "Gaidi mfia dini" ndio nani?

viingereza vingi kwenye sentensi ya kiswahili ni dalili ya uoga.

swala la yeye kuua polisi pekee umelitoa wapi??hujasikia kuna mlinzia wa kampuni pia??au nayeye alipewa dhahabu??
acha umbuzi.

kwanza wewe unajua alikuwa amepanga kuua nani na nani??
Sema hujaelewa nikutafsirie,ningekuogopa nisingekujibu,kwani mlinzi haingii kwenye category ya kusimamia safety,umesikia kuna raia ya kawaida ameuliwa ukiacha wao? very stupid Huna jibu la maana ndo maana Unajibu kwa jazba na ukali, ukweli umekuuma wa kula mihogo na hapa umenijulisha kua unakula mizizi pia lazima uwe na akili na majibu ya ovyo,akili za Facebook ndo zipi? Ndo shida ya kujua social media hivi karibu mnajiona nyie ndo mko sawa katika kila kitu,ujinga tu,wala sikujibu tena nishaona mtu anayenijibu yuko vipi,endelea kuamini ujinga wako eti jamaa yangu hamza una evidence,ovyo kweli kusema ukweli mpaka uwe una ujamaa na mtu,deal na people wa type yako,wabinafsi,wabaguzi na wajinga nimemalizaa
 
Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi?

Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam kwa taarifa za majirani na familia yake, DCI awaambie umma wa waislam "Gaidi mfia dini" ni nani? Awaeleze watanzania ni dini gani inayotuma watu kua magaidi? Ugaidi wa Hamza wameuhusisha vipi na dini yake?

Hii chuki ambayo mnataka kuiingiza kwenye imani za watu ni uchokozi mtu na siyo sawa.Mnapaswa kuwaomba radhi waumini wa dini ya kiislam ambao kimsingi siyo wao waliomtuma Hamza kufanya aliyoyafanya.
Ipo haja ya driver wa boda boda kupelekwa jkt coz fupi ili kulisaidia jeshi hili, wabebe abiria na wakati huo huo kutoa tarifa muhimu kuwasaidia hili jeshi pengine litasaidia kwa namna moja au nyingne na kuhusu malipo mtakubaliana baada ya mazungumzo mtakayofanya.
 
Sema hujaelewa nikutafsirie,ningekuogopa nisingekujibu,kwani mlinzi haingii kwenye category ya kusimamia safety,umesikia kuna raia ya kawaida ameuliwa ukiacha wao? very stupid Huna jibu la maana ndo maana Unajibu kwa jazba na ukali, ukweli umekuuma wa kula mihogo na hapa umenijulisha kua unakula mizizi pia lazima uwe na akili na majibu ya ovyo,akili za Facebook ndo zipi? Ndo shida ya kujua social media hivi karibu mnajiona nyie ndo mko sawa katika kila kitu,ujinga tu,wala sikujibu tena nishaona mtu anayenijibu yuko vipi,endelea kuamini ujinga wako eti jamaa yangu hamza una evidence,ovyo kweli kusema ukweli mpaka uwe una ujamaa na mtu,deal na people wa type yako,wabinafsi,wabaguzi na wajinga nimemalizaa

kwamba unitafsirie kiingereza cha maslay queen hiki!!!we dogo vipi!!!labda mmoja wao.

nimekuuiiza swali simple,unajua hamza wakati anatoka kwake alipanga aue nani na nani???sijui hata kama hujui jibu ulielewa msingi wa swali hilo!!

sijajua unaaga hutanijibu tena unaogopa majibu ya hovyo ama unaogopa maswali ya hovyo??akili za facebook ndio kama hizi za kukimbia mijadala.
 
Back
Top Bottom