flayboy
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 175
- 95
Duh bro punguza ukali wa manenoMxxxx wakina hadya wa mabatini..titi moja linajaa kwenge bidi ya kirikuu au?
Duh bro punguza ukali wa manenoMxxxx wakina hadya wa mabatini..titi moja linajaa kwenge bidi ya kirikuu au?
Jerasi izoHajanishawishi kusema anavutia au mrembo.
Bora hata mama ntilie wa jirani.
Pale nje ya ofisi ya bashitenaomba mnielekeze lindo la huyu dada
Pale nje ya ofisi ya bashite
Sawa kila la kheri ila usisahau kuuliza juu ya cheti chakengoja niende nikafanye tukio hapo
Sawa kila la kheri ila usisahau kuuliza juu ya cheti chake
Hivi kwanini trafiki wetu Wa kike wengi ni vibonge
michemsho na rushwa...
Sizani kapa ulibance combination yakoKipindi nipo kidato cha sita alikuja constable wa kike mzuri sanaa nlibahatika kuchonga nae lakini yule msimamizi mkuu wa kituo cha mtihani aliniletea ngumu akaninyakua kabla sijafanikisha lengo langu la kumtokea yule police ana alikua mzuri sjawah kuona
Ningebalance vizuri ningekua Daktari sasa ivi lakini ndo kama ivo ilivotokea
Kama upo tayari kulala selo twende nikupeleke mawasiliano pale ukampige picha 😁Kapendezaaa, na picha za wa hapa kwetu je?
HahahaaaaaaNingebalance vizuri ningekua Daktari sasa ivi lakini ndo kama ivo ilivotokea