Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,608
- 218,024
Hivi mkiambiwa mnatumikishwa hovyo mtakataa ? Hiki kitengo kipya cha kutengeneza sinema mithili ya Bongo muvi kinagharamiwa na nani , kwanini kimelenga Chadema pekee ?
Kama lugha chafu na za kejeli zimejaa kwenye mikutano ya ccm , kila mtu ni shahidi , kwanini mnakiandama chama kimoja tu , tena kwa kiwango duni kiasi hata kipofu anawaona ?
Hii ccm mnayoitumikia iko siku itaanguka ( HUU NDIO UKWELI ) , je mnatarajia watakaoingia waendelee kuwapa kazi au wawafute tuanze upya ?
Kama lugha chafu na za kejeli zimejaa kwenye mikutano ya ccm , kila mtu ni shahidi , kwanini mnakiandama chama kimoja tu , tena kwa kiwango duni kiasi hata kipofu anawaona ?
Hii ccm mnayoitumikia iko siku itaanguka ( HUU NDIO UKWELI ) , je mnatarajia watakaoingia waendelee kuwapa kazi au wawafute tuanze upya ?