Polisi mlichowafanyia hao wanajeshi kwa ushahidi wao mmewakomoa ila mnatia hasira

Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Polisi wa Tanzania wanafundishwa matumizi ya nguvu na ukatili zaidi badala ya akili na busara
 
Yaani Mungu ameamua kuonyesha maovu ya serikali ya Ccm kupitia hii kesi..
Haikuja kwa bahati mbaya yote ni mipango ya Mungu ili siku atakapo amua kuilipiza hii laana kwa wana Ccm na maovu yao wasije sema laana ime toka wapi.
Ili Mh Rais Mama Samia hiki kikombe kimuepuke na asije kulaaniwa na kizazi chake, ina takiwa kwa muda huu huyo Kingai na Mahita wawe wako mahabusu pamja na boss wao Siro. Maana Siro alimjaza Mh. Rais makande. Hakumueleza ukweli wa hili jambo. Polisi mmejipaka mavi usoni.
Hafu hii kesi chafu inachafua Hadi Rais, hafu hao mapolice kutesa watu ndio zao
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Kingai ndio mtesaji namba moja.Leo ni Mbowe kesho mtanzania mwingine yoyote anaweza kuingia katika utesaji wa Kingai.Hakuna aliye salama
 
Wao kutokana na kutokuwa wataalam wa mahojiano, huamini kutumia njia ya mateso ndio watapata ukweli, matokeo yake ndio hayo,!!ki ukweli kwa ushahidi huu wanaoutoa hawa mashahidi ingekuwa ni nchi za jamii ya wastarabu , mahita na kingai, lazima tu una siku wangetakiwa kujibu hayo!!na hayo ni machache tu, badaye mtu unakuja kushangaa kwanini maaskari wengi wakistaf huwa wanaishi maisha ya tabu sana kwenye jamii?
Mahita ni jambazi la siku nyingi, malalamiko juu yake hayajaanza Leo, lakini ninachojua ndani ya hii dunia unachotenda leo lazima kukurudie kesho
 
Hivi kwa mfano askari kama huyo Good luck, kingai, j4 na mahita kwa matendo yao mabaya wanaishi humuhumu mitaani kwetu au ndio wanakaa hukohuko central..
Sidhani ufanye ukatili kama huu then uwe na guys za kujichanganya kitaa..
Mungu awake moto wa subira na kusamehe kwa hao Makomandoo
 
Ni wivu wa polisi kwa mbowe kupewa protection na jwtz siku si nyingi zitapigwa kavu
Lini mwanafunzi wa nursery alimpiga mwalimu wake...? pt ni level ndogo sana, ndo maana kabla ya kwenda kurandaranda huko ccp tunawakaanga sana jkt wakiiva ndipo waende
 
Kwa katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna aliyejua ya sheria na kila mtu ni innocent kabla ya hukumu, Wallah Wabillah Taallah kwa ushahidi walioutoa mmefanya ukatili wa hali ya juu sana kupita kiasi, maana mpaka sasa kwenye ushindi wa pande zote mbili hakuna hisia za ugaidi hapa zaidi ya uonevu tu. Hakuna si upande wa utetezi wala upande wa mashtaka kwa ushahidi uliotolewa mtu unaweza kusema hawa ni magaidi hata kama hukumu ya mahakama bado.

Mmeamsha hisia za watu, hawa walikua ni makomandoo hamjui wameacha jamaa zao wangapi kule kazini, wanafamilia na wana wazazi wao walivuja majasho kuwalea. Basi mfanye hayo yote kwa kosa linalodhihirika, hapa tunasikia kua walikamatwa tuu walikua wakila njama za kulipia vituo vya mafuta kwa ujira wa laki 6. Tunajua ushahidi wa Mbowe utahitimisha kila kitu, mmeitonesha jamii, mmeumiza watu mno.

Kingai na Mahita kama maafisa wa polisi wanatajwa sana kuongoza hili zoezi, hivi wao si binadamu? Kweli mti ambaye tu hana historia ya tukio baya kwenye jamii tena wengine tunaambiwa ni wachamungu mnawakatili kiasi hicho?

Hiki kiburi cha utesaji kwa ukatili huu kinatoka wapi? Shida ni Mbowe tuu au kitu gani kuumiza watoto wa watu kiasi hiki?

Haya,shahidi anasema Goodluck alimwambia tutakutupa kama Moses Lijenje ukijifanya jeuri, huku polisi mmekana kumpata Moses Lijenje. Iko siku Goodluck atasema mlimtupa wapi.

Mungu atie ukuu wake katika hili, wenye roho za Wanyama na wageuke kua wanyama kama Nguruwe.
Hao magaidi walipaswa "kupotezwa" kabisa! Washukuru udhaifu uliopo sasa!
 
Acha kuweka tafsiri zako potofu hapa

Kuanzia mwanzo mashahidi wa serikali walisema mpaka wanaondoka Moshi hawakumkamata Moses Linjenje.

Maelezo ya utetezi kila oanayehojiwa anadai hakuwahi kuonana na Moses Linjenje wala kumwona akikamatwa na polisi

Kutegemea taarifa ya upande mmoja wa utetezi kwamba walitishiwa kwamba wasingekiri wangefanya kama alivyofanyiwa Moses Linjenje haithibitishi Moses Linjenje alikamatwa na nani na walimfanya nini, lini, wapi kwa jinsi gani na kwanini?
Bila shaka itakuwa Maita kakuolea dada yako maana sio kwa mahaba hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama SSH kama ananwashauri ......avunje kikosi cha mauaji na kuunda tume huru kijaji kuchunguza kikundi hicho...anzia kwa Hamza hadi kesi ya Mbowe hakuna alie juu ya sheria....wananuka damu za watu..
Hivi kweli unakaa na kuwaza kuwa uyu mama anaweza kufanya chochote cha maana kwenye taifa ili?!! Kweli unawaza hivyo!!!nasikitika sana kuhusu taifa langu! Lakini nakusikitikia hasa wewe ambae unamuamini uyu mwanamke!
 
Hivi kwa mfano askari kama huyo Good luck, kingai, j4 na mahita kwa matendo yao mabaya wanaishi humuhumu mitaani kwetu au ndio wanakaa hukohuko central..
Sidhani ufanye ukatili kama huu then uwe na guys za kujichanganya kitaa..
Mungu awake moto wa subira na kusamehe kwa hao Makomandoo
Kuna mzee mmoja aliwahi kuwa mkuu wa polisi anaitwa mahita,alikuwa katili mlugulu yule haijapata kutokea alikuwa zaidi ya neno katili!! Kama ndio baba yake na uyu kijana polisi!! Basi sishangai ukatili uko kwenye damu yao
 
Kuna mzee mmoja aliwahi kuwa mkuu wa polisi anaitwa mahita,alikuwa katili mlugulu yule haijapata kutokea alikuwa zaidi ya neno katili!! Kama ndio baba yake na uyu kijana polisi!! Basi sishangai ukatili uko kwenye damu yao
Alikuwa Ibilisi kabisa.
 
Back
Top Bottom