Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,022
- 54,306
πππππππKwani hamza hakuwa mchamungu
πππππππKwani hamza hakuwa mchamungu
Nimewachukia Sana watoto wa quarters kupitia mijadala mbalimbali inayowahusisha Mahita na Kingai Kama watoto wahuni wa line.
Lakini najiuliza swali moja, Kwanini Mbowe alihitaji makomandoo, tena moshi na sio Ufipa kinondoni na Dar es salaam?!
Kunakitu kinaniambia kua huenda kunauovu fulani Ila pia polisi wetu wameshindwa kufuata utaratibu na pia wamekosa utu, kwa sasa siwezi kutana na Mahita au Kingai bar moja eti ninywe bia comfortably.
Naamini hii kesi jamhuri watapoteza, Ila haimanishi kua hakukua na uovu uliokua unapangwa.
Theory yangu nadhani , Hawa walikua recruited na Mbowe ku counter attack lile kundi la Sabaya,
Kama theory yangu ikiwa proven right, basi tushukuru pandezote yaani Sabaya na Mbowe na washirka wake wamedhibitiwa.
Nchi yetu ni bora Sana bila hao watu.
Naomba kusisitiza kua hii ni Nadharia binafsi.
Ingekuwa China wangesha nyongwa hadharani..ina takiwa kwa muda huu huyo Kingai na Mahita wawe wako mahabusu pamja na boss wao Siro.
Unajisikiaje?!Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu
kila ubaya utalipwaHata mateso ya makaburu ya Afrika kusini yalikuwa na nafuu ya haya ya Tanzania kulingana na zama.