Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Akiongea katika Pozi lililobeba Maslahi ya Ki Taifa Zaidi,
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP (Commissioner of Police) Alhaji Suleiman Kova amepiga Marufuku kikundi ama mtu yeyote kulipua Fataki kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya
Msingi wa Katazo hili unabebwa na Matishio ya Ugaidi yanayoukumba ukanda wa Africa Mashariki.
"Tunajali Maslahi ya Taifa, Starehe ya Mtu mmoja au kikundi cha watu wachache haiwezi ku Compromise uhai wa watu wengi, Magaidi wanaweza kutumia Loop hole ya ulipuaji Mafataki kulipua Mabomu yao ya Ukweli, hii inaweza ku mis lead Polisi na kushindwa ku act on time" alisema Alhaji CP Kova.
Source ITV Habari, 20:00 Hours
My Take.
Kwa kweli leo Binafsi nimefarijika sana na amri ya CP Kova
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP (Commissioner of Police) Alhaji Suleiman Kova amepiga Marufuku kikundi ama mtu yeyote kulipua Fataki kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya
Msingi wa Katazo hili unabebwa na Matishio ya Ugaidi yanayoukumba ukanda wa Africa Mashariki.
"Tunajali Maslahi ya Taifa, Starehe ya Mtu mmoja au kikundi cha watu wachache haiwezi ku Compromise uhai wa watu wengi, Magaidi wanaweza kutumia Loop hole ya ulipuaji Mafataki kulipua Mabomu yao ya Ukweli, hii inaweza ku mis lead Polisi na kushindwa ku act on time" alisema Alhaji CP Kova.
Source ITV Habari, 20:00 Hours
My Take.
Kwa kweli leo Binafsi nimefarijika sana na amri ya CP Kova