Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Pumbaf zao
ni ngumu sana kumkabidhi fisi bucha au zizi la mbuzi hatutaweza kupata suluhu hadi tume huru ya mahakama
Another Sily season episode II
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba mgongoni kwake alikuwa na bango la kumtambulisha kuwa ni muislam?niwazi kabisa vijana wa chadema ndo walio muua kijana ally muislam mwenzetu.hii ni mara ya pili kwa muislam kufa ktk maandamano ya cdm. Cdm imehusika iwaeleze wananchi
Asa ivi watawala wametufanya MABWEGE,Hata mtoto mdogo hawezi kuwaelewa polisi.
Wameua wao, wamechunguza wao na wanatoa ripoti wao! Tafakari!
Asilimia kubwa ya police wananunua vyeti weledi watautoa wapi?hakuna kada iliyojaa wajinga kama polisi, huu ujinga waliokuja nao leo unaweza kuingia kwenye kitabu cha GUINESS.