DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,094
- 1,689
Nadhani kuna daktari kama daktari ambaye au ni mbobezi kwenye kitu fulani au generalist, lakini kuna forensic pathologist ambao ni wachache (na labda gynecologists). Hizo issue za swab unaweza ukazisema hapa, kwa sababu umesoma lakini je hawa madaktari wa kawaida wamepata mafunzo kwa ajili ya matukio kama hayo na namna ya kuyawasilisha pale inapobidi au wanaingia kwenye hiyo nafasi kwa kuwa forensic pathologist na au gnecologist hayupo?Daktari alipopelekewa mtoto wa kubakwa, yeye ndiye alitakiwa kufanywa swabs za sehemu za siri za mtoto na kuzihifadhi kama sample ambazo zinaweza kufanyiwa uchunguzi wa DNA. Kumbuka kwamba hata kama mtoto aliogeshwa, ndani ya mwili wake bado angekuwa na vitu kama shahawa za mbakaji. Madaktari wanaelewa utaratibu huu, sasa huyu kwa nini hakufanya?