Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
No, sisi wengine hatupati lishe kupitia siasa za moja kwa moja! Hao wanaoishi kwa kutegemea siasa (kupitia ruzuku, mishahara, misaada kutoka kwa wahisani) wafanye kazi yao kwa nguvu zote, sisi tutatoa supportKelele zipigwe na wote