Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Hope mko poa kabisa.
Kesi ya Freeman Mbowe imetufungua macho wengi,
Yaani polisi wanakamata mtuhumiwa let say mtuhumiwa anaitwa Faru John,, afu wakienda kumuandikisha wanaandika may be Fredrick Paul, so ata akiteswa akauwawa ndugu hamtampata.
Maana mkienda kwenye kituo cha polisi mtakuta jina bandia walilombatiza mtuhumiwa.
Huu ujinga ulioletwa na polisi waTanzani lazima ukomeshwe, polisi nyie sio maaskofu kuweza kubatiza watu majina.
Bring back our Lijenje
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kesi ya Freeman Mbowe imetufungua macho wengi,
Yaani polisi wanakamata mtuhumiwa let say mtuhumiwa anaitwa Faru John,, afu wakienda kumuandikisha wanaandika may be Fredrick Paul, so ata akiteswa akauwawa ndugu hamtampata.
Maana mkienda kwenye kituo cha polisi mtakuta jina bandia walilombatiza mtuhumiwa.
Huu ujinga ulioletwa na polisi waTanzani lazima ukomeshwe, polisi nyie sio maaskofu kuweza kubatiza watu majina.
Bring back our Lijenje
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app