marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Pole sana ndugu,ili jambo linaonekana ni very serious,ila kwa ushauri tu ni bora ungelitolea taarifa kwa ngazi za juu zaidi za jeshi la polisi,vyombo vya habari vingi na hata asasi zisizo za kiserikali mapema iwezekanavyo ili wajue kabisa njama zao zimegundulika,vinginevyo unaweza ukawa late na wakakumaliza kweli!ili jeshi letu la polisi kwa kiasi fulani limepoteza uadilifu kabisa,pole sana ndugu!
Ushauri mzuri kabisa!!!Bila media kuingilia kati,huyu jamaa tutamsahau muda si mrefu!!!