Ni dhahiri kuwa katika dunia ya utandawazi ya sasa habari yoyote ile inatambaa kwa kasi sana. Tanzania imebarikiwa kuwa na vivutio vingi vya watalii. CCM wanapotumia polisi kuzuia maandamano kwa kisingizio cha intelijensia ya Al shabab siyo tu wanakuwa wamekomoa waandamanaji bali wanazidi kudididmiza taifa hasa kwenye sector ya utalii.
Nchi nyingi sana zinajaribu kupunguza risk kama hizo kwa kuwahakikisha watu kuwa wanafanya kila liwezekanalo ili kuwalinda wao na mali zao dhidi ya ugaidi. Kutumia tishio la Al shabaab kupitishia agenda ya kuzuia maandamano will serve well for those who have been told to use anything they can to thwart demonstration but their actions have more negatives to our country's prosperity than the positives to afraid ruling elites.
Potential and current foreign investors will also see this as a threat to their investments in the country and therefore transfer their capital to other country with less terror risk. But another issue is political risk, CCM using police to thwart peaceful demonstrations is an incubation for confrontation which in one way or another can be avoided.
This also increases risks for tourism and Import of foreign investments. Letting people vent their anger is the best way of reducing risk than forbiding them and suffer internal discrimination in their own country. Police or CCM have nothing to lose when people go the streets pieceful, but they are losing big when they force people remaining with their anger.
Kuwatumia polisi ambao wengi wao ni darasa la saba kama mbwa wa kuumia wanaokutisha hata kama hakuna potential ya kukudhuru ni kutengeneza mazingira ya kuogopesha wageni kuja Tanzania. Marekani ni Taifa ambalo lenye less political risk na lenye watu wenye uhuru wa kuongea na kufanya chochote kile ili mradi hawavunji sheria za nchi. Kuwaacha watu waandamane kutoa hisia zao Tanzania ni jambo lenye afya kwa amani yetu na ustawi wa demokrasia na uchumi wetu.
Mwanadamu kazaliwa huru na ataendelea kuwa huru hata kama uhuru huo utauchukua kwa muda kwa kutumia mabomu ya machozi na risasi. Serikali iache woga, njia pekee inayoweza kufanya watu wasiandamane ni kuwapa watu nafasi ya maamuzi katika nchi yao na si kulazimisha hata yale yasiyolazimizika.
Nchi nyingi sana zinajaribu kupunguza risk kama hizo kwa kuwahakikisha watu kuwa wanafanya kila liwezekanalo ili kuwalinda wao na mali zao dhidi ya ugaidi. Kutumia tishio la Al shabaab kupitishia agenda ya kuzuia maandamano will serve well for those who have been told to use anything they can to thwart demonstration but their actions have more negatives to our country's prosperity than the positives to afraid ruling elites.
Potential and current foreign investors will also see this as a threat to their investments in the country and therefore transfer their capital to other country with less terror risk. But another issue is political risk, CCM using police to thwart peaceful demonstrations is an incubation for confrontation which in one way or another can be avoided.
This also increases risks for tourism and Import of foreign investments. Letting people vent their anger is the best way of reducing risk than forbiding them and suffer internal discrimination in their own country. Police or CCM have nothing to lose when people go the streets pieceful, but they are losing big when they force people remaining with their anger.
Kuwatumia polisi ambao wengi wao ni darasa la saba kama mbwa wa kuumia wanaokutisha hata kama hakuna potential ya kukudhuru ni kutengeneza mazingira ya kuogopesha wageni kuja Tanzania. Marekani ni Taifa ambalo lenye less political risk na lenye watu wenye uhuru wa kuongea na kufanya chochote kile ili mradi hawavunji sheria za nchi. Kuwaacha watu waandamane kutoa hisia zao Tanzania ni jambo lenye afya kwa amani yetu na ustawi wa demokrasia na uchumi wetu.
Mwanadamu kazaliwa huru na ataendelea kuwa huru hata kama uhuru huo utauchukua kwa muda kwa kutumia mabomu ya machozi na risasi. Serikali iache woga, njia pekee inayoweza kufanya watu wasiandamane ni kuwapa watu nafasi ya maamuzi katika nchi yao na si kulazimisha hata yale yasiyolazimizika.