kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,866
- 2,746
Habari zenu wandugu
nimeamua kuwaletea kwenu hii kitu maana inanisumbua kichwa sana. Kunakesi nyingi sana za wizi na ujambazi sasaivi wakati polisi wanaotakiwa kutulinda wapo na wanakula kodi zetu na ulinzi wenyewe hatuuoni. Mtu kama kova kazi yake ni kuita vyombo vya habari na kuongea pumba tu huku kazi anayotakiwa kufanya haifanyi kama inavyotakiwa.
Tuje kwenye wizi wa vyombo vya magari. Kilakitu ukiibiwa cha kwenye gari unakikuta gerezani, polisi wanalijua hili na wahusika wanajulikana ila kwanini hawakamatwi? Je polisi wanashirikiana nao ili waongeze posho zao? Naandika nikiwa na machungu sababu saivi polisi kazi yao imekuwa kama kupiga wanafunzi na wananchi wanaodai haki zao.
Mapendekezo yangu kwa serikali ni kwamba jeshi la polisi lifutwe na nafasi ya waziri mambo ya ndani ifutwe sababu hana kazi ya kufanya zaid ya kutuongezea matatizo.
nimeamua kuwaletea kwenu hii kitu maana inanisumbua kichwa sana. Kunakesi nyingi sana za wizi na ujambazi sasaivi wakati polisi wanaotakiwa kutulinda wapo na wanakula kodi zetu na ulinzi wenyewe hatuuoni. Mtu kama kova kazi yake ni kuita vyombo vya habari na kuongea pumba tu huku kazi anayotakiwa kufanya haifanyi kama inavyotakiwa.
Tuje kwenye wizi wa vyombo vya magari. Kilakitu ukiibiwa cha kwenye gari unakikuta gerezani, polisi wanalijua hili na wahusika wanajulikana ila kwanini hawakamatwi? Je polisi wanashirikiana nao ili waongeze posho zao? Naandika nikiwa na machungu sababu saivi polisi kazi yao imekuwa kama kupiga wanafunzi na wananchi wanaodai haki zao.
Mapendekezo yangu kwa serikali ni kwamba jeshi la polisi lifutwe na nafasi ya waziri mambo ya ndani ifutwe sababu hana kazi ya kufanya zaid ya kutuongezea matatizo.