Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Nimesoma katika gazeti la Mtanzania la leo linasema kuwa Polisi walioko Igunga wanalipwa posho ya shs. 5,000/= kwa siku na imethibitishwa na mkuu wao Isaya Mgulu eti naye amesema anapata hiyo hiyo, hii inawezekana kweli mtu kulipwa 5000/= halafu akasimamia haki katika uchaguzi?
Hii naona imekaa vibaya na inachochea rushwa kwa polisi siku ya uchaguzi na kuondoa usawa, jamani hivi kweli mtu akalale nje kwa pesa hiyo halafu asijihusishe na uharifu?
Nawasilisha kwa wanaJF!!
Hii naona imekaa vibaya na inachochea rushwa kwa polisi siku ya uchaguzi na kuondoa usawa, jamani hivi kweli mtu akalale nje kwa pesa hiyo halafu asijihusishe na uharifu?
Nawasilisha kwa wanaJF!!