mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Mhhh niko happy sasa coz i real lyk this move especially main charactor KOVA so ndo epsode ya ngapi sijui nahofu inaweza ikasisimua zaidi ila sipendi Dr ahusiswe! Ikiwa tayari tuambiane jamani.... Ohhhh just wanna forget vip mkenya feki naye yupo tena?. So funny.
Hakuna kuzungumzia mkenya feki maana suala lake lipo mahakamani. Mnh! Kova Kova Kova......... hajachoka tu kurekodi hiyo movie pamoja ya kwamba episodes za mwanzo watu hawakuzipenda. Sijui, labda hii itauza.