JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Jeshi la Polisi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, linawashikilia watu watatu wanaotuhumiwa kufanya uharibifu wa mazingira kutoka kijiji cha Mafisa wilayani Kilindi eneo lenye mgogoro wa mpaka kati ya Kilindi na Kiteto ambalo Waziri Mkuu, Mhe.Kasimu Majaliwa alielekeza lisifanyike shughuli yoyote kutokana na malumbano ya mpaka baina ya pande hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app