POLISI: Kifungo anachoweza kupata mwenye kosa la mapenzi ya jinsia moja

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,205
Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja kumekuwa na taarifa za mitandaoni kwamba tayari jeshi la polisi kanda maalum Dar es salaam limeshaanza kuwakamata baadhi ya Watuhumiwa.

Kuthibitisha hilo, Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum-Dar es salaam, Simon Sirro amenukuliwa akisema;

’'Hili kosa lipo muda mrefu, ukienda kwenye sheria za adhabu kwa nchi yetu kufanya mapenzi kinyume cha maumbile ni kosa la jinai na tumekuwa tukiwakamata watu ‘

‘'Kilichokuwa kinakosekana ni suala tu la taarifa lakini ukipatikana hukumu yake ni kubwa inategemea na hakimu, kama sikosei ni kuanzia miaka miaka mitano, sita mpaka saba jela, hili sio kosa la miezi miwili jela’ – Kamanda Simon Sirro.
 
Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja kumekuwa na taarifa za mitandaoni kwamba tayari jeshi la polisi kanda maalum Dar es salaam limeshaanza kuwakamata baadhi ya Watuhumiwa.

AyoTV imempata kamanda wa Polisi kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro aliesema >>>
’Hili kosa lipo muda mrefu, ukienda kwenye sheria za adhabu kwa nchi yetu kufanya mapenzi kinyume cha maumbile ni kosa la jinai na tumekuwa tukiwakamata watu ‘ ‘Kilichokuwa kinakosekana ni suala tu la taarifa lakini ukipatikana hukumu yake ni kubwa inategemea na hakimu, kama sikosei ni kuanzia miaka miaka mitano, sita mpaka saba jela, hili sio kosa la miezi miwili jela’ – Kamanda Simon Sirro.
source; Millardayo.com
Duuuuuuuh,ngoja Obama na Cameron wasikie hii habari,yaani bakuli letu la sadaka litapigwa teke mpaka tule tusenti kidogo tuliomo tutaruka na kupotele mchangani.
 
Safi sana, usisahai wanawake wanaojiuza na wale wafumua marinda ya jinsia ya ke.
Hawa mashoga, machangudoa na wateja wao adhabu iwe moja. Na wanaotoa mimba na kutupa watoto jalalan
 
Yaani hatari kama TINDIKALI,yaani tunawadhulumu wanawake MAUTAMU yao,ilihali wao na **** zao wanahitaji kupakuliwa kwa saaaaaana sababu kama hatujawaingilia basi watawashwa sana halafu watapata MFAZAIKO au vipi?
 
Yaani hatari kama TINDIKALI,yaani tunawadhulumu wanawake MAUTAMU yao,ilihali wao na **** zao wanahitaji kupakuliwa kwa saaaaaana sababu kama hatujawaingilia basi watawashwa sana halafu watapata MFAZAIKO au vipi?
Hahahaha Sema Mademu wanaroho ngumu, anaeza akashikwa kikweli kweli lakini asitoe bila hela
 
safi bila kusahau machangudoa. Na wale wapenda tigo za jinsia ya ke.
Na wateja pia hawa inabid wapigwe sindano ya sumu tu
Naona unatafuta vita kutoka kwa Jopo la wataalamu wa kuzibua vyoo
 
Safi sana, usisahai wanawake wanaojiuza na wale wafumua marinda ya jinsia ya ke.
Hawa mashoga, machangudoa na wateja wao adhabu iwe moja. Na wanaotoa mimba na kutupa watoto jalalan
Sidhani kama kunaatakae kusapoti, nahisi hata wanawake hawatokubaliana nawewe
 
Makonda kuanzisha vita na hao watu wakati bajeti yako ni tegemezi kuna kitu mnakitafuta
 
Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda kupiga marufuku mapenzi ya jinsia moja kumekuwa na taarifa za mitandaoni kwamba tayari jeshi la polisi kanda maalum Dar es salaam limeshaanza kuwakamata baadhi ya Watuhumiwa.

AyoTV imempata kamanda wa Polisi kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro aliesema >>>
’Hili kosa lipo muda mrefu, ukienda kwenye sheria za adhabu kwa nchi yetu kufanya mapenzi kinyume cha maumbile ni kosa la jinai na tumekuwa tukiwakamata watu ‘ ‘Kilichokuwa kinakosekana ni suala tu la taarifa lakini ukipatikana hukumu yake ni kubwa inategemea na hakimu, kama sikosei ni kuanzia miaka miaka mitano, sita mpaka saba jela, hili sio kosa la miezi miwili jela’ – Kamanda Simon Sirro.
source; Millardayo.com


Martin Kadinda kakamatwa bado au yupo tu mitaani tuanze kumsaka?
 
Sio kila anaeshiriki mapenzi ya jinsia moja anaingiliwa kinyume na maumbile, watu wengi wanachanganya hilo. kwa mfano wnawake wasagaji hawaingiliani kinyume na maumbile (anal penetration).

Ile sheria anayoiongelea kamanda Sirro ni ya kosa la kuingiliana kinyume na maumbile bila kujali kama mna jinsia tofauti (mwanaume na mwanamke) au jinsia moja (wote wanaume).

Kwa hiyo kwa sheria iliyopo wala haisemi ushoga / useng* ni nini, pia haizungumzii usagaji. Makonda na Sirro wanafurahisha genge tu, sheria iliyopo haijitoshelezi.

N.B pia kwamujibu wa hiyo sheria (iliyopo sasa hivi) huruhusiwi kula tig* hata kama ni mkeo. akikushtaki unekwisha....hivyo chote chote bandugu.
 
Sidhani kama kunaatakae kusapoti, nahisi hata wanawake hawatokubaliana nawewe
Kama hawajawazuia hao wanawake wanaojiuza na wateja hao kuutokomeza ushoga ni ngumu mkuu. Sababu wengi wa wateja wao ndio hao hao wateja wa mashoga.

Km mtu anajitoa ufahamu anatembea na mwanamke anayejiuza tena hatumii condom na tigo anakula hatashindwaje kumla shoga?

Mm nafikiri njia rahic ya kutokomeza ushoga, kuwazuia wanawake wanaojiuza, pamoja na wateja wao.

Na sheria kali iweke kwa mtu anayetembea na shoga na shoga mwenyew. Kama adhabu shoga apigwe na mteja wa shoga apigwe adhabu kali sana. Unafikir ikifanywa hiv kuna mtu atathubutu kutembea na shoga?

Kitu kingine elimu itolewe kwa watu
Halafu kitu kingine
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom