Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Wakili maarufu wa NASA James Orengo aliwasilisha hati ya dharura mahakamani jijini Nairobi kuomba mahakama isimamishe Polisi kuendelea kumsaka huyo bilionea, mahakama walikubali ombi hilo na imeamuru Polisi wa Kenya waache kumkamata, licha ya Polisi kupewa amri hiyo lakini bado walikuwa wamezingira jumba la bilionea huyo wakijaribu kubomoa chumba hicho bila mafanikio.
Hiyo picha ni miongoni mwa magari ya kifahali ya bilionea huyo hiyo gari aliingiza nchini Kenya hivi karibuni inathamani ya dola laki 4 [ATTgACH=full]611644[/ATTACH]